Utaskia kwanza sikukuita ulikuja mwenyewe 😀😀Sio wanaume wa Tanzania msio na shukrani,sana sana baadae ataanza kukuchamba demu gani Yuko desperate,anajileta Kwa nauli yake,atakusemaa wee mpaka ujute.Bora hata akusimange huku pesa yake alokupa inamuuma
Dada mnawatoaga wapi mashemeji wa hivyo?Sio wanaume wa Tanzania msio na shukrani,sana sana baadae ataanza kukuchamba demu gani Yuko desperate,anajileta Kwa nauli yake,atakusemaa wee mpaka ujute.Bora hata akusimange huku pesa yake alokupa inamuuma
Sasa huyo si mvulana jmn?Sio wanaume wa Tanzania msio na shukrani,sana sana baadae ataanza kukuchamba demu gani Yuko desperate,anajileta Kwa nauli yake,atakusemaa wee mpaka ujute.Bora hata akusimange huku pesa yake alokupa inamuuma
Ulishayakanyaga mwaisa 😂Weeeee
Bure mnatoa ?Daaah,tatizo Nini?kipato kidogo au ubahili?Tatizo mnachukulia vitu serious sana Nyie watu
😀😀Yaishe😅
NiacheeeUlishayakanyaga mwaisa 😂
Mnakosea sana, kwangu ukijileta unanipa deni zaidiUtaskia kwanza sikukuita ulikuja mwenyewe 😀😀
Yaani Unataka bure halafu Tena na masharti kibao,ndio maana pisi Kali kasema utumie kwanza M akupe experience 🤦🤦🤦🤦🤦🤦😀 😀 ndio hivyo sio unakutana na pisi, anaweka nguo pembeni na kujiegesha ili uchomeke ukuni na kuchochea moto; hapo anakuwa hana tofauti na roboti
Baki huko huko usijeukatuharibia washamba wetu wa mikoani 😂Niacheee
Mmmmmmh unless Kama huna nduiMnakosea sana, kwangu ukijileta unanipa deni zaidi
Ndui ndio nini ewe chuduu😂Mmmmmmh unless Kama huna ndui
Ni sura tu na umbo, kwingine hana maarifa, ni kujiegesha tu ili mashine iingie; kwa sawa huu nani atoe hiyo kitu 😀 😀 kwa huduma hiyoYaani Unataka bure halafu Tena na masharti kibao,ndio maana pisi Kali kasema utumie kwanza M akupe experience 🤦🤦🤦🤦🤦🤦
Basi nimeamini chuu wewe sio Mtanzania🤣🤣🤣🤣hujui ndui?Ndui ndio nini ewe chuduu😂
Niambie bhanaBasi nimeamini chuu wewe sio Mtanzania🤣🤣🤣🤣hujui ndui?
Dah🤦🤦🤦changamoto sanaNi sura tu na umbo, kwingine hana maarifa, ni kujiegesha tu ili mashine iingie; kwa sawa huu nani atoe hiyo kitu 😀 😀 kwa huduma hiyo
Kwenye bega lako hapo huna alama kwani?Niambie bhana
Hawaaribu,anawachangamsha tu usiogope😁Baki huko huko usijeukatuharibia washamba wetu wa mikoani 😂
Achelewi kuwaharibu huyo lazima niwe na hofu huko mikoani ndio kimbilio letu 😂Hawaaribu,anawachangamsha tu usiogope😁