Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Sio wanaume wa Tanzania msio na shukrani,sana sana baadae ataanza kukuchamba demu gani Yuko desperate,anajileta Kwa nauli yake,atakusemaa wee mpaka ujute.Bora hata akusimange huku pesa yake alokupa inamuuma
Dada mnawatoaga wapi mashemeji wa hivyo?
 
😀 😀 ndio hivyo sio unakutana na pisi, anaweka nguo pembeni na kujiegesha ili uchomeke ukuni na kuchochea moto; hapo anakuwa hana tofauti na roboti
Yaani Unataka bure halafu Tena na masharti kibao,ndio maana pisi Kali kasema utumie kwanza M akupe experience 🤦🤦🤦🤦🤦🤦
 
Yaani Unataka bure halafu Tena na masharti kibao,ndio maana pisi Kali kasema utumie kwanza M akupe experience 🤦🤦🤦🤦🤦🤦
Ni sura tu na umbo, kwingine hana maarifa, ni kujiegesha tu ili mashine iingie; kwa sawa huu nani atoe hiyo kitu 😀 😀 kwa huduma hiyo
 
Back
Top Bottom