mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
Ukiona una date na mademu wanaomba nauli, jua una date na malaya bado au machokolaa wa kimapenzi.. Mwanamke anae shindwa hata jihudumia nauli huyo hana maana kabisa
Kama ni mahusiano ya muda mfupi utapambana utume nauli; lakini kama ni mtu unataka uwe naye kwa muda mrefu, utakuwa umeliwa chekundu.😅 😅 hakuna namna, ulale na nyege
au utume nauli ( ambapo hujui italiwa au lah )
NAKAZIA NA NYUNDO YA CHUMA CHA PUA KABISAPuli haina nauli. Kwako dronedrake
HAHAHAHAHA nimecheka kinomaIna maaana huniamini?
Kwenye mizunguko huwa anapata nauli wapi ? Demu akishaanza omba nauli naona kama malaya tu wa telegram wanao jiuza, ili aje inabidi umtumie nauliHana kazi hela anatoa wapii au ndio aombe wazazi nauli ya kuja kwako ili umnyanduee
Mimi sehemu ya nauli 10 -30k natuma sioni shida na sijali kama atakuja au la. Kwanza asipokuja ndio vizuri maana akija hapo lazima 50k ya lodge, 50 ya mazagazaga bado nayeye nimtoe. Asipokuja anakua amenisaidia hiyo hela nakula na wife.Acha ubahili tuma nauli
😂😂 Huo mtego kuuvuka na umempenda mrembo ni kazi sana. Anakuambia Kama huniamini Basi tuachane.HAHAHAHAHA nimecheka kinoma
Ndio hivyo, na akifika achangii chochote, yaani anakuwa amekuja kama bidhaa tuNdio maneno yao hayo wenyewe wanasema Ina maaana huniamini?
ivi sijajua, hata wapenzi hua wanaomba nauli kumbe ?😂😂 Huo mtego kuuvuka na umempenda mrembo ni kazi sana. Anakuambia Kama huniamini Basi tuachane.
Usiombe awe ni wa chuo 😂Ndio hivyo, na akifika achangii chochote, yaani anakuwa amekuja kama bidhaa tu
😅😅😅hebu nitumie na mieMimi sehemu ya nauli 10 -30k natuma sioni shida na sijali kama atakuja au la. Kwanza asipokuja ndio vizuri maana akija hapo lazima 50k ya lodge, 50 ya mazagazaga bado nayeye nimtoe. Asipokuja anakua amenisaidia hiyo hela nakula na wife.
mzee naona unaongea kwa uzoefu kabisa, tena kwa uchungu uliojificha 😅 😅 😬Usiombe awe ni wa chuo 😂
Kwenye mizunguko huwa anapata nauli wapi ? Demu akishaanza omba nauli naona kama malaya tu wa telegram wanao jiuza, ili aje inabidi umtumie nauli
Uko sahihi kabisa! Ushauri wako unafaa sana, hususan kwa vijana wetu. Kila upande hauna budi kuchangia gharama za kujenga uhusiano wenye afya na unaonufaisha pande zote mbili. Kongole!Mapenzi ni hisia kati ya mwanaume na mwanamke, na kinachowaunganisha ni hizo hisia walizojijengea wao katika mahusiano waliyonayo.
Kama mmoja atakuwa na hisia zaidi kuliko mwenzake, huyo lazima awe mtumwa katika hayo mahusiano; atateseka kiuchumi na kifikra katika kumfurahisha mwenzake ili asije kumkimbia.
Hayo tunasema, sio mahusiano yenye afya kwa binadamu; kwa sababu pale utakaposhindwa kutimiza mahitaji ya upande wa pili, lazima uhusiano utetereke.
kwa mantiki hiyo, kama mahusiano yatakuwa na afya hakutakuwa na kuuziana hisia; kama kukulipia nauli ndio uje, kukununulia kitu fulani ndio unipe penzi, au mpaka nikuonge kitu fulani ndio ujenge hisia kuwa na mwenzako n.k tunasema huo ni ubatili katika mahusiano.
Naamini kama utakuwa na hisia na mwenzako, utagharamika kivyako ili muweze kuwa na mwenzako, bila kumpa mwenzio gharama akugharamikie.
Wanaume tushtuke, usisafirishe mzigo; kama ana mapenzi na wewe atakuja mwenyewe ata kwa kukopa.
Tofauti na hapo, tutakuwa tunauziana; ndio maana usafirishaji wa mizigo unakuwepo.
Atanitaja nani sasaWastaarabu hawajitaji, wanatajwa 😂
Hakika wwe ni Mama mzungu una roho ya kizungu huyo mwamba alikua na mazingira mabovu hakutaka uyajue. Mnapatikana wapi wa hivi? Kumbe bado mpoNishawahi kujilipia nauli yangu mara 1 na mpk leo ile hela inaniumaa
Nilitumia karibu elfu70 nafika morogoro napiga simu haipokelewi sms hazijibiwii….. mpk nafika daslama mtu hapokeii [emoji24][emoji24]sikuonana nae mpk nikarudi nilipotoka tena kwa nauli yangu
Yule bwegeee ….. ni mwanaume wa ajabu sana sijawahi onaaa[emoji1787]
Kwa kweli sitorudiaa tenaaa hata kama nauli ni mia2 utatuma tu
Ukitolewa 'out' jitahidi ununue ata kachumbari ya 500; unatakiwa uonyeshe ata kajitihada basi cha kujali.Asa kama hana kazi anakaa kwao unafikiri atatoa wapi hiyo nauli??
Usiombe awe ni wa chuo [emoji23]