Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Nishawahi kujilipia nauli yangu mara 1 na mpk leo ile hela inaniumaa

Nilitumia karibu elfu70 nafika morogoro napiga simu haipokelewi sms hazijibiwii….. mpk nafika daslama mtu hapokeii [emoji24][emoji24]sikuonana nae mpk nikarudi nilipotoka tena kwa nauli yangu

Yule bwegeee ….. ni mwanaume wa ajabu sana sijawahi onaaa[emoji1787]

Kwa kweli sitorudiaa tenaaa hata kama nauli ni mia2 utatuma tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Date your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.

Aisee umenikumbusha kaka wa moshi alitakaga nipandisha nyeunge! At this? Nikalishe takle for good 12hrs kisa nimfate mwanaume? Nilimwambia akawasafirishe kwenye nyehunge wachaga wenzie sio mimi.

Kuna mmoja nilijilipia wakati narudi akanirudishia pesa yangu......Miaka imepita

Oh thank God am done with african men. Ingawa hao wacha nilowahi kuwa nao sikuwa kujuta kivile.......anyway
Sasa unacheza mechi za kimataifa ya ng'ambo tu eeπŸ˜‚
 
Date your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.

Aisee umenikumbusha kaka wa moshi alitakaga nipandisha nyeunge! At this? Nikalishe takle for good 12hrs kisa nimfate mwanaume? Nilimwambia akawasafirishe kwenye nyehunge wachaga wenzie sio mimi.

Kuna mmoja nilijilipia wakati narudi akanirudishia pesa yangu......Miaka imepita

Oh thank God am done with african men. Ingawa hao wacha nilowahi kuwa nao sikuwa kujuta kivile.......anyway
au sio mbwembwe mingii ...
tiketi ya ndege si hadi uwe na iyo value..
unafikiri kama kigarula nani a risk mzigo wake wote ? Kama unayo unatoa waungwana wanarudhisha na zaidi.. maana inaonesha kidogo ka akili ka kujielewa
 
Date your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.

Aisee umenikumbusha kaka wa moshi alitakaga nipandisha nyeunge! At this? Nikalishe takle for good 12hrs kisa nimfate mwanaume? Nilimwambia akawasafirishe kwenye nyehunge wachaga wenzie sio mimi.

Kuna mmoja nilijilipia wakati narudi akanirudishia pesa yangu......Miaka imepita

Oh thank God am done with african men. Ingawa hao wacha nilowahi kuwa nao sikuwa kujuta kivile.......anyway
πŸ˜‚ Upo level za anga Kuna watu nyehunge ni ndege yao
 
au sio mbwembwe mingii ...
tiketi ya ndege si hadi uwe na iyo value..
unafikiri kama kigarula nani a risk mzigo wake wote ? Kama unayo unatoa waungwana wanarudhisha na zaidi.. maana inaonesha kidogo ka akili ka kujielewa
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Sipandi nyehunge case closed boma liwanza
 
Mwisho wa siku ni kuumia tu manake sasa kuonana ni mara moja kwa mwaka, hata kuwekwa kizembe na watu baki ni rahisi manake nyege zikikaba koo unashindwa kujizuia.
Kuna ka mwanamke kalitumia invoice ya mwewe.. go and return.. nikapige kimyaaa .. kila siku kanauliza sikajibu wala nini.. nauchunaaaa . badae mbona kalipanda basi kenyewe kaja πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hawa ifikie mahala tukaze tusiendekeze nyegee.. unaweza lipa mwewe alafu ikawa nikutoa bokoo tu tu
 
Date your size hutopata shida. Ukiona mwanamke kasema babe nakuja na the wings of kilimanjaro usimchukulie pouwa uwezo huo anao ndo maana anakukumbusha majukumu yako.

Aisee umenikumbusha kaka wa moshi alitakaga nipandisha nyeunge! At this? Nikalishe takle for good 12hrs kisa nimfate mwanaume? Nilimwambia akawasafirishe kwenye nyehunge wachaga wenzie sio mimi.

Kuna mmoja nilijilipia wakati narudi akanirudishia pesa yangu......Miaka imepita

Oh thank God am done with african men. Ingawa hao wacha nilowahi kuwa nao sikuwa kujuta kivile.......anyway
Ile kuthubutu kijigharamia, inaongeza thamani ya mtu kwenye mahusiano; tofauti itakuwa ni gold digger
 
Back
Top Bottom