Mapenzi ya Michael na Shirley Garvin, yalivyogeuka tukio la mauaji

Story nzuri.
Lakini naomba utengue kauli Yako kuhusu kamera za barabarani, hapo Zanzibar sio tu barabarani, mitaa ya stone town inakamera kwenye njia za waenda Kwa miguu zote.

Kuna matukio mawili yamewahi kutokea barabarani, kamera zilisaidia sana ufuatiliaji Hadi gari iliyohusika na uhalifu kukamatwa.
 
Asante kwa marekebisho mkuu, siku jua hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…