Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu.

Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini?

Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha.

Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na kumiliki vitu.

Hii ndio sababu kuu za ndoa zao kudumu zaidi ya miaka 50.

Kama unabisha, njoo huku kwenye shamba la mahindi 😀

njoo.jpg
 
KUTONGOZA hakuna umri. Ila raha zaidi ni Kusumbuliwa kupewa jibu na binti. Bonge moja la burudani.

Hawa mabinti wa sasa huna haja ya kutongoza. Text moja chuma imeshafika Guest inajiandaa kutafunwa.!
Nadhani kwa sababu ya uhitaji wa pesa umekuwa mkubwa sana, watu hawalimi, wanategemea wale, wavae, wanukie vizuri kwa noti
 
Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu.

Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini?

Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha.

Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na kumiliki vitu.

Hii ndio sababu kuu za ndoa zao kudumu zaidi ya miaka 50.

Kama unabisha, njoo huku kwenye shamba la mahindi 😀

View attachment 3092690
Nakumbuka miaka hiyo mwenyekiti wa Kijiji chetu alimfanya mama mmoja muuza mgahawa kitu mbaya kwenye shamba letu mpaka mahindi yote yakakauka, purukushani pale katikati ya shamba hayakuwa na mfano. Chezea zamani weye
 
Daaa hyo picha mkuu naona kijana analivuta lishangazi lake wakamalizane Kwenye mahindii😋😋😋 ..

Imenikumbusha 2008 nilivyomvutia glory Kwenye migomba aiseé ,Ile kumlaza chini tu nakuanza kuvua mweee mweee mwee tuling'atwa na siafu na shoo ikaishia hapoo ..
 
Daaa hyo picha mkuu naona kijana analivuta lishangazi lake wakamalizane Kwenye mahindii😋😋😋 ..

Imenikumbusha 2008 nilivyomvutia glory Kwenye migomba aiseé ,Ile kumlaza chini tu nakuanza kuvua mweee mweee mwee tuling'atwa na siafu na shoo ikaishia hapoo ..
Anahisi akimuachia nafasi hapo, hampati tena
 
Back
Top Bottom