Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

Anahisi akimuachia nafasi hapo, hampati tena
Rafiki yangu mmoja hapo zamani aliahidiwa na demu kwamba wangekutana shambani, siku ya kukutana ikafika na jamaa alikuwa ameshajiaandaa kisaikolojia. Akafika shambani lakini demu hakufika jamaa alipoona kuwa upwiru umemzidia akaamua kumgeuza kondoo aliyekuwa amefungwa pale shambani kuwa mapenzi wake wa muda. Baadaye alibainika kuwa amezini na kondoo kesi ikaenda Kwa wazee, jamaa aliitwa kwenye mkutano wa Kijiji kujibu mashtaka hatimaye jamaa alikiri na kuomba asamehewe lakini wanawake waliokiwepo kwenye kikao walipiga makelele wakisema "ili tukusamehe inabidi uvue nguo tuone huo uume wako ulioutumia kumfurahisha kondoo". Wanawake bhana!
 
Rafiki yangu mmoja hapo zamani aliahidiwa na demu kwamba wangekutana shambani, siku ya kukutana ikafika na jamaa alikuwa ameshajiaandaa kisaikolojia. Akafika shambani lakini demu hakufika jamaa alipoona kuwa upwiru umemzidia akaamua kumgeuza kondoo aliyekuwa amefungwa pale shambani kuwa mapenzi wake wa muda. Baadaye alibainika kuwa amezini na kondoo kesi ikaenda Kwa wazee, jamaa aliitwa kwenye mkutano wa Kijiji kujibu mashtaka hatimaye jamaa alikiri na kuomba asamehewe lakini wanawake waliokiwepo kwenye kikao walipiga makelele wakisema "ili tukusamehe inabidi uvue nguo tuone huo uume wako ulioutumia kumfurahisha kondoo". Wanawake bhana!
Kijiji cha mkoa upi?
 
Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu.

Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini?

Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha.

Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na kumiliki vitu.

Hii ndio sababu kuu za ndoa zao kudumu zaidi ya miaka 50.

Kama unabisha, njoo huku kwenye shamba la mahindi 😀

View attachment 3092690
Bila kitu kabisa 😅 atumie Pesa yake?
 
e12fa9b8072a4b1cad5f24dae96f0b4a~2.jpg
 
Ila watoto wa kike wa siku hizi wanashindwa kuficha hisia zao, yaani mtoto akikupenda utamtambua tu. Kuna mmajo alinielewa mwaka Jana akawa anajipitisha mbele huku akitingisha Kwa nguvu almanusura avunjike kiuno nilivyogundua kuwa huyu ananitaka nikakaza, na yeye alivyoona Sina habari naye akaanza kuimba ule wembo wa harmonize eti "I'm single... I'm single again... You know I'm single". Nyambafu!
 
Back
Top Bottom