Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Kwa nyakati hizi, kwa mwanaume lazima mfuko utoboke hasaNimekumbuka babamkubwa wangu alivyonihadithia eti kipindi yeye na mamamkubwa wanatongozana mamamkubwa alikuwa anamnunulia viatu, mikanda....
Nikawaza sasa hivi inawezekana kweli?