Gifted Girl
Senior Member
- Jul 16, 2024
- 108
- 241
KabisaUko sahihi, utu hakuna siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaUko sahihi, utu hakuna siku hizi
HASWA!Kwahiyo wakamvua na kukichungulia kidudu chake?
Jamani mahaba pori ni matamu asikuambie mtu, achilia mbali bughudha ambazo unaweza kukutana naza kama nyoka, nge, kurushiwa mawe na wale wasiopenda uinjoi.
Wanaume mmeumbwa mateso. Lea tu utapata thawabuKwa hiyo ikitokea amezaa na wewe, watoto si wako?
30Mwisho wa kutongoza ni miaka mingapi?
Tatizo tunazeeka harakaWanaume mmeumbwa mateso. Lea tu utapata thawabu
😜😜Tatizo tunazeeka haraka
Tuulize tunaojua mapenzi zamani yalikuwaje
Yalikuwaje.Tuulize tunaojua mapenzi zamani yalikuwaje
Asingesimulia.Juzi wakati waalimu wa field wakiwa na wiki tatu unusu katika field yao mambo ya zamani yalitaka kujitokeza mara baada ya mwalimu wa kike na kiume (wote wa field) kwnda uwanjani mida ya usiku huku wakitongozana. Duru zinasema mwalimu wa kiume aliona maneno matupu hayavunji mifupa ndipo alipoamua kumgaragaza mwalimu wa kike chini huku akimtaka wafañye mchezo wa shetani lakini bahati ilikuwa Kwa mwalimu wa kike aliyempiku wa kiume na kuhepa na njia kuelekea quarters walikokuwa wanakaa wenzake. Alipofika kule ndipo akawapa story nzima huku nguo zake zikiwa zimetapakaa majani makavu. Story ilizagaa shule nzima hadi huyo madam akiwa anafundisha wanafunzi wanaaanza kumwongelea chinichini
Maana Siri ikifichuka ni aibuAsingesimulia.
Huko ni kidhalilishana. Afu kesi ya aibu kama hiyo kwanini isikikizwe na kikosi kizima, angekuwa mwanamke ndo kavuliwa nguo, feminist wa haki za binadamu wangepiga kelele kwenye media tusingekaa.HASWA!
😁😁😁🤣🤣🤣Huko ni kidhalilishana. Afu kesi ya aibu kama hiyo kwanini isikikizwe na kikosi kizima, angekuwa mwanamke ndo kavuliwa nguo, feminist wa haki za binadamu wangepiga kelele kwenye media tusingekaa.
We jamaa nakufahamu ulipotelea wapi kaka?
Acha uoga weweTatizo unakutana na mtu hana kitu unavumilia akipata kitu anakuona wewe si kitu.