Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

Ila watoto wa kike wa siku hizi wanashindwa kuficha hisia zao, yaani mtoto akikupenda utamtambua tu. Kuna mmajo alinielewa mwaka Jana akawa anajipitisha mbele huku akitingisha Kwa nguvu almanusura avunjike kiuno nilivyogundua kuwa huyu ananitaka nikakaza, na yeye alivyoona Sina habari naye akaanza kuimba ule wembo wa harmonize eti "I'm single... I'm single again... You know I'm single". Nyambafu!
 

Attachments

  • 20240911_141855.jpg
    20240911_141855.jpg
    242.4 KB · Views: 1
Raha kwa nyie wa zamani, sisi wa sasa raha ni sasa, hatuwezi sikia raha za zamani maana hatukuwepo.

Namshukuru Mungu kuishi nyakati hizi.
 
Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu.

Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini?

Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha.

Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na kumiliki vitu.

Hii ndio sababu kuu za ndoa zao kudumu zaidi ya miaka 50.

Kama unabisha, njoo huku kwenye shamba la mahindi 😀

View attachment 3092690
Hapo utasikia sitaki, nimesema niache ntapiga kelele

Huku kadri unavyozidi kuvuta anajongea mdogo mdogo🤣


Baada ya hapo Kifuatacho ITV ni mazungumzo baada ya habari
 
Hivi unawezaje kudate mtu hujui anajishughulisha na nini?

Kama unahisi anauliza akupife vizinga na hutaki ajue wewe boss tra mwambie unachoma mahindi trust me kuna watakaobaki na akisepa shukuru ila mambo ya kujifanya tiss huku dalali sijui bodaboda mnajiharibia
 
Back
Top Bottom