Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mbona unashtuka 😀heeeeee
Mwisho wa kutongoza ni miaka mingapi?Kwa sisi wanaume wa zamani hakuna kitu raha kama KUTONGOZA regardless na matokeo.
Hakika ile ni SANAA kama kucheza draft.
KUTONGOZA hakuna umri. Ila raha zaidi ni Kusumbuliwa kupewa jibu na binti. Bonge moja la burudani.Mwisho wa kutongoza ni miaka mingapi?
Wakati mwingine huwa nahisi haya magonjwa ni yakutengenezahalafu kulikuwa hakuna kipeuo cha kwanza cha UTI yaani (KKU)..😂
Nadhani kwa sababu ya uhitaji wa pesa umekuwa mkubwa sana, watu hawalimi, wanategemea wale, wavae, wanukie vizuri kwa notiKUTONGOZA hakuna umri. Ila raha zaidi ni Kusumbuliwa kupewa jibu na binti. Bonge moja la burudani.
Hawa mabinti wa sasa huna haja ya kutongoza. Text moja chuma imeshafika Guest inajiandaa kutafunwa.!
Inakuja imebeba condom kabisa na KY kama utataka njia ya vumbiKUTONGOZA hakuna umri. Ila raha zaidi ni Kusumbuliwa kupewa jibu na binti. Bonge moja la burudani.
Hawa mabinti wa sasa huna haja ya kutongoza. Text moja chuma imeshafika Guest inajiandaa kutafunwa.!
Kama inawezekana, zama zijirudie tuZamani ilikuwa poa asee
Haha..hakuna kitu kabisa. Yani 'Mademu' wanataka wasikilizwe badala ya kusikiliza Mtongozo.Inakuja imebeba condom kabisa na KY kama utataka njia ya vumbi
Nakumbuka miaka hiyo mwenyekiti wa Kijiji chetu alimfanya mama mmoja muuza mgahawa kitu mbaya kwenye shamba letu mpaka mahindi yote yakakauka, purukushani pale katikati ya shamba hayakuwa na mfano. Chezea zamani weyeMapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu.
Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini?
Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha.
Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na kumiliki vitu.
Hii ndio sababu kuu za ndoa zao kudumu zaidi ya miaka 50.
Kama unabisha, njoo huku kwenye shamba la mahindi 😀
View attachment 3092690
Uko sahihi, utu hakuna siku hiziMaisha yamebadilika siku hizi kila mtu anatafuta pesa kwa njia anayoijua yeye iwe halali au haramu hizi ndio zile siku ambazo ilishatabiriwa watu watapenda pesa kuliko kitu kingine
Anahisi akimuachia nafasi hapo, hampati tenaDaaa hyo picha mkuu naona kijana analivuta lishangazi lake wakamalizane Kwenye mahindii😋😋😋 ..
Imenikumbusha 2008 nilivyomvutia glory Kwenye migomba aiseé ,Ile kumlaza chini tu nakuanza kuvua mweee mweee mwee tuling'atwa na siafu na shoo ikaishia hapoo ..
Wangekutwa ingekuwaje?Nakumbuka miaka hiyo mwenyekiti wa Kijiji chetu alimfanya mama mmoja muuza mgahawa kitu mbaya kwenye shamba letu mpaka mahindi yote yakakauka, purukushani pale katikati ya shamba hayakuwa na mfano. Chezea zamani weye