Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Kwa nyakati hizi, kwa mwanaume lazima mfuko utoboke hasaNimekumbuka babamkubwa wangu alivyonihadithia eti kipindi yeye na mamamkubwa wanatongozana mamamkubwa alikuwa anamnunulia viatu, mikanda....
Nikawaza sasa hivi inawezekana kweli?
Kama kucheza draft!Raha sanaKwa sisi wanaume wa zamani hakuna kitu raha kama KUTONGOZA regardless na matokeo.
Hakika ile ni SANAA kama kucheza draft.
Bahati hajirudii mara mbili 😅Anahisi akimuachia nafasi hapo, hampati tena
Rafiki yangu mmoja hapo zamani aliahidiwa na demu kwamba wangekutana shambani, siku ya kukutana ikafika na jamaa alikuwa ameshajiaandaa kisaikolojia. Akafika shambani lakini demu hakufika jamaa alipoona kuwa upwiru umemzidia akaamua kumgeuza kondoo aliyekuwa amefungwa pale shambani kuwa mapenzi wake wa muda. Baadaye alibainika kuwa amezini na kondoo kesi ikaenda Kwa wazee, jamaa aliitwa kwenye mkutano wa Kijiji kujibu mashtaka hatimaye jamaa alikiri na kuomba asamehewe lakini wanawake waliokiwepo kwenye kikao walipiga makelele wakisema "ili tukusamehe inabidi uvue nguo tuone huo uume wako ulioutumia kumfurahisha kondoo". Wanawake bhana!Anahisi akimuachia nafasi hapo, hampati tena
Kijiji cha mkoa upi?Rafiki yangu mmoja hapo zamani aliahidiwa na demu kwamba wangekutana shambani, siku ya kukutana ikafika na jamaa alikuwa ameshajiaandaa kisaikolojia. Akafika shambani lakini demu hakufika jamaa alipoona kuwa upwiru umemzidia akaamua kumgeuza kondoo aliyekuwa amefungwa pale shambani kuwa mapenzi wake wa muda. Baadaye alibainika kuwa amezini na kondoo kesi ikaenda Kwa wazee, jamaa aliitwa kwenye mkutano wa Kijiji kujibu mashtaka hatimaye jamaa alikiri na kuomba asamehewe lakini wanawake waliokiwepo kwenye kikao walipiga makelele wakisema "ili tukusamehe inabidi uvue nguo tuone huo uume wako ulioutumia kumfurahisha kondoo". Wanawake bhana!
DodomaKijiji cha mkoa upi?
Bila kitu kabisa 😅 atumie Pesa yake?Mapenzi ya sasa hivi yamejaa utapeli mwingi, huna kitu hupendwi mtu.
Ukimtongoza tu mrembo, atakuuliza unafanya kazi gani, au unamiliki nini?
Kama bado unajitafuta, utakutana na fedheha.
Ila enzi za mababu zetu, ilikuwa full burudani; mnakutana mkiwa hamna kitu, baadaye mnachuma pamoja na kumiliki vitu.
Hii ndio sababu kuu za ndoa zao kudumu zaidi ya miaka 50.
Kama unabisha, njoo huku kwenye shamba la mahindi 😀
View attachment 3092690
Ndio, mnaamua kuanza safari ya utafutaji pamojaBila kitu kabisa 😅 atumie Pesa yake?
Siku hizi akikupa namba tu, wako.Kwa sisi wanaume wa zamani hakuna kitu raha kama KUTONGOZA regardless na matokeo.
Hakika ile ni SANAA kama kucheza draft.
Kwenda wapi? 😅😅😅Anzisha safari ukifika utanikutaNdio, mnaamua kuanza safari ya utafutaji pamoja
Je nisipofanikiwa?Kwenda wapi? 😅😅😅Anzisha safari ukifika utanikuta
Itakubidi ufanikiwe Bro! Safari ni yakoJe nisipofanikiwa?
Inategemea na misingi mliojiwekea, haya mambo yamekuja kutokea kipindi hiki cha haki sawa (tamaduni za nje)Tatizo unakutana na mtu hana kitu unavumilia akipata kitu anakuona wewe si kitu.
Duh! Sijui ingekuwaje.Wangekutwa ingekuwaje?
Kwa hiyo ikitokea amezaa na wewe, watoto si wako?Itakubidi ufanikiwe Bro! Safari ni yako