Mapenzi ya zamani yalikuwa raha sana, natamani yajirudie.

 

Attachments

  • 20240911_141855.jpg
    242.4 KB · Views: 1
Raha kwa nyie wa zamani, sisi wa sasa raha ni sasa, hatuwezi sikia raha za zamani maana hatukuwepo.

Namshukuru Mungu kuishi nyakati hizi.
 
Hapo utasikia sitaki, nimesema niache ntapiga kelele

Huku kadri unavyozidi kuvuta anajongea mdogo mdogo🤣


Baada ya hapo Kifuatacho ITV ni mazungumzo baada ya habari
 
Hivi unawezaje kudate mtu hujui anajishughulisha na nini?

Kama unahisi anauliza akupife vizinga na hutaki ajue wewe boss tra mwambie unachoma mahindi trust me kuna watakaobaki na akisepa shukuru ila mambo ya kujifanya tiss huku dalali sijui bodaboda mnajiharibia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…