Mapenzi yanahitaji mchakamchaka


Tatizo wajuba wanadhani ni ule ugomvi kama wanaofanya watu wa mkoa wa Mara sio huo kabisa nazungumzia kaugomvi kasichokuwa na madhara yeyote [emoji28]
 

[emoji28][emoji28]
 

Well said
 

Unafaa sana kwenye kizazi cha bongo movie [emoji28][emoji28]
 

[emoji28][emoji28][emoji28]hakuna msamaha mkuu moja kwa moja motoni
 
Unagoma kula au kufanya nini?
😋kula hawagomi mkuu, huwa namgomea yeye tabia zake na mambo flani flani nisiyoyataka unamtafutia ili akijua mda wangu wa kurudi anapangilia kila kitu vizuri asigomewe.
 

Point [emoji123]
 
Kweli kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]ila sio kila mwanamke unaeza mletea izo drama
 
Nmemzingua jana mchana[emoji1]
Mpaka sasa naona anapost tu ujingaujinga status wa kunilenga mimi,[emoji1][emoji1][emoji1]
Kunitext anatamani ila anasita anaona afikishe ujumbe kupitia status tu.
Me namcheki tu[emoji4]
 
Nmemzingua jana mchana[emoji1]
Mpaka sasa naona anapost tu ujingaujinga status wa kunilenga mimi,[emoji1][emoji1][emoji1]
Kunitext anatamani ila anasita anaona afikishe ujumbe kupitia status tu.
Me namcheki tu[emoji4]

Fanya kumpiga kimoja cha fasta kabla wajuba hawajacheza na fursa [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…