Mapenzi yanahitaji mchakamchaka

Halafu siku hiyo hata nguvu ya kupiga show ya kibabe huwa inakuja kwa kasi automatically unajikuta unatembeza pira kwa demu mpaka unamuonea huruma mashine hailali
 
Pekua simu yake Mkuu. 😂😂😜
Kabisa,
Binafs nna miez 2 hatujazinguana kidogo na shemej yako.

Naona
Amekaa kizembe zembe sana,nyumba imepoa.

Nipe wazo mkuu,
Nimtaftie kosa gani leo hii ili mradi tu tuzinguane kidogo leo achangamke changamke kidogo.
 
Unapofanya hivyo hakikisha huyo mwanamke anakupenda sanaa
 
Vip na wale wa kanda maalum wakizinguana, wanamke anashika panga mwanaume ana shoka, halafu kesho yake unawaona hao wanashikana mikono wanaelekea shambani.
 
Iyo nilishaifanya zaman sana kabla ata sijaoa,

ILIKUA HIVI,[emoji116]



Nikajisemea kimoyo moyo,
" NAAM , Hapa ndo nlipokua napataka[emoji4]. Amekua serious na mahusiano sasa [emoji106]"
Kwanza una muda asee[emoji848][emoji848]

Pili ulimuoa?
 
Narudia tena ...una muda sana na hii sekta

Vyotee hivyoo
 
Hebu fatisha uzi huu kumbe na yeye ameshakuchoka.

JF utaiona chungu.

Hakuna kitambaa kimoja kinachoshona mahusiano yote.

No hard and fast rule applies equally to all relationships.
Wanawake mtabisha ila kiuhalisia mtoa mada yupo sahihi.
Mwanamke bila kumpa shuruba kidogo anakuona zumbukuku
 
Halafu siku hiyo hata nguvu ya kupiga show ya kibabe huwa inakuja kwa kasi automatically unajikuta unatembeza pira kwa demu mpaka unamuonea huruma mashine hailali

Ni kweli kabisa mkuu unakuta mashuti on target ni zaidi ya 300[emoji28]
 
Unapofanya hivyo hakikisha huyo mwanamke anakupenda sanaa

Kwa sisi makocha wabobezi unamsajili mchezaji mwenye mapenzi na Timu tu usisijili uchezaji ambaye hana mapenzi na timu maana pesa ikikata anavunja mkataba nadhani wajuba wamenielewa
 
Nyie ndio wake zenu wanatongoza watu huku mitaani kuwa hawana furaha kwenye ndoa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatar sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…