DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji23]Ugomvi wa Instagram [emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]Ugomvi wa Instagram [emoji28][emoji28]
Ata Kama Nimeshatubu mkuu?[emoji18][emoji28][emoji28][emoji28]hakuna msamaha mkuu moja kwa moja motoni
[emoji23][emoji23][emoji23]Unateseka ukiwa wapi mkuu [emoji28]?
Safi Sana[emoji23]Nmemzingua jana mchana[emoji1]
Mpaka sasa naona anapost tu ujingaujinga status wa kunilenga mimi,[emoji1][emoji1][emoji1]
Kunitext anatamani ila anasita anaona afikishe ujumbe kupitia status tu.
Me namcheki tu[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23]Pekua simu yake Mkuu. [emoji23][emoji23][emoji12]
Hapana[emoji4]Kwanza una muda asee[emoji848][emoji848]
Pili ulimuoa?
Sometimes Mahusiano bila fitna na figisu figisu hayaendi[emoji4]Narudia tena ...una muda sana na hii sekta
Vyotee hivyoo
Wanajificha Kwenye mgongo wa pesa,Wanawake mtabisha ila kiuhalisia mtoa mada yupo sahihi.
Mwanamke bila kumpa shuruba kidogo anakuona zumbukuku
[emoji4]kweli kabisaKwa sisi makocha wabobezi unamsajili mchezaji mwenye mapenzi na Timu tu usisijili uchezaji ambaye hana mapenzi na timu maana pesa ikikata anavunja mkataba nadhani wajuba wamenielewa
Jifanye mkorea, majibu utayapata[emoji4]Nyie ndio wake zenu wanatongoza watu huku mitaani kuwa hawana furaha kwenye ndoa.
Demu wangu ukimtibua mnagombana hataki shobo anytime soon[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hatar sana
Yuko tofaut eeh[emoji4]Demu wangu ukimtibua mnagombana hataki shobo anytime soon
Yeah hayo mambo ya kumtibua kisha ujifanye unaomba papuchi atakukera😂😂😂 wala usijaribu kujibebisha!Yuko tofaut eeh[emoji4]
Ha ha ha..anahitaji maombi uyo.Yeah hayo mambo ya kumtibua kisha ujifanye unaomba papuchi atakukera[emoji23][emoji23][emoji23] wala usijaribu kujibebisha!
Tunawagonga Sana mbona wake zenuJifanye mkorea, majibu utayapata[emoji4]