Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Nimejaribu kumwambia tuachane

Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kulia kwa mwanamke Ni Jambo la kawaida jombaa na anatumia hicho kilio Kama trick ya kukufanya umuonee huruma jiongeze
 
Kama mzigo anatoa sasa what the problem is? Wee mwanamke wako ukiwa unamgegeda tuu. Akishaingia kitaa ni wa yoyote atakae fika bei yake
Tell him [emoji119][emoji16][emoji16]
 
Hata mimi nilipokuwa bado mdogo kama wewe nilikuwaga naamini kwamba msichana akilia machozi anamaanisha ndo anasema ukweli kwa asilimia zote kumbe...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mwenyewe nakwama hapo

Juzi kaninyima mzigo
Eti anaenda likizo hataki Jamaa ajue
Kama amefanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] KWISHA umelishwa kinyama jini
wanyumbn huyo ndio mmilik wee shareholder tu
 
Uzinzi unawatesa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaona future pande zote bado upo dogo

Nyie wote mazoba atatokea mwingine ataona pia future.

Mnachunwa tu
Wee unajua mpo wawili ale yy kule ajuui kma mko wawili nan anapendwa apo[emoji23][emoji23]
 
Okoa nyaraka muhimu kisha timua mbio🏃🏃
 
Samahani naomba nianze kukushauri kwa tusi dogo la reja reja, we ni tako la afisa usalama, nije kwenye ushauri sasa, ndugu yangu umejaribu kufikiri huyo mwanamke ametoa wapi ujasiri wa kusema anawapenda wote mbele yako ili hali huyo jamaa hayupo? we matako sikia, huyo mwanamke hakupendi, unatumika na she is not suitable for future use, embu jikite kwenye kusoma bado ubongo wako ni mdogo mno kupambana na hawa popobawa kihisia, achana na mapenzi jaribu punyeto ikusaidie, mapenzi haya tuachie sisi wadogo zake na shetani weye mbinu bilioni moja za kupambana na hao vibwengo, mbwa kabisa wewe ndugu yangu, pole lakini
 
Piga pumbu mkuu ........yaaan upo chuo unawaza demu wa kumuoa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Ndo nyie mnamaliza chuo hamna hata cent


Then mnaanza kuilaumu serikali
 
nimeshangaa sana, hata kama mapenzi upofu huwezi nichanganya na mtu mwingine nijue alafu nione sawa. binafsi huwa sina uvumilivu huo, nadhani Mungu wakati ananiumba alisahau kuniwekea🤣🤣
Sema huyo binti atakua ni jasiri sana kama mpaka anaweza mtamkia mdau mbele yake kwamba kumuacha haiwezekani na anaona fyucha huku na kule duh.....

namshauri mleta mada kwamba ampe binti "mitano tena na miwili ya nyongeza" 😂
 

Umeenda kusoma au umeenda kuanzisha mahusiano.kuna vyuo na baazi ya masomo ulisha disco siku nyingi,fata kilichokupeleka
 
Sema huyo binti atakua ni jasiri sana kama mpaka anaweza mtamkia mdau mbele yake kwamba kumuacha haiwezekani na anaona fyucha huku na kule duh.....

namshauri mleta mada kwamba ampe binti "mitano tena na miwili ya nyongeza" 😂
Atakapokuwa anahangaika kumpigia kura ya mitano tena utasikia "baby nina mimba yako" hapo ndipo atakapoelewa A na a zote zina sound moja😄😄😄😄
 
Mkumbushe kuwa ndio sehemu muhimu sana tena sanaa za kutengeneza connection tofauti tofauti + kutengeneza mahusiano mazuri na watu muhimu sio wa hovyo hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…