Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Mapenzi yanatutesa Wanachuo, ushauri wenu ni wa muhimu sana kwangu kipindi hiki

Nimejaribu kumwambia tuachane

Amelia mbele yangu kuwa hayuko tayali kwa Hilo
& Amesisitiza nisiombe ushauri kokote make anajua watanishauri vibaya
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kulia kwa mwanamke Ni Jambo la kawaida jombaa na anatumia hicho kilio Kama trick ya kukufanya umuonee huruma jiongeze
 
Kama mzigo anatoa sasa what the problem is? Wee mwanamke wako ukiwa unamgegeda tuu. Akishaingia kitaa ni wa yoyote atakae fika bei yake
Tell him [emoji119][emoji16][emoji16]
 
Hata mimi nilipokuwa bado mdogo kama wewe nilikuwaga naamini kwamba msichana akilia machozi anamaanisha ndo anasema ukweli kwa asilimia zote kumbe...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mwenyewe nakwama hapo

Juzi kaninyima mzigo
Eti anaenda likizo hataki Jamaa ajue
Kama amefanya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] KWISHA umelishwa kinyama jini
wanyumbn huyo ndio mmilik wee shareholder tu
 
Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.

Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .

Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Uzinzi unawatesa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaona future pande zote bado upo dogo

Nyie wote mazoba atatokea mwingine ataona pia future.

Mnachunwa tu
Wee unajua mpo wawili ale yy kule ajuui kma mko wawili nan anapendwa apo[emoji23][emoji23]
 
Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.

Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .

Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.
Okoa nyaraka muhimu kisha timua mbio🏃🏃
 
Mjusi katikati ya mlango😂😂😂😂 Alaf ukikosa kazi unaanza kulalam umelogwa kumbe uliendekeza future na dem ukiwa chuo
Tafuta Future yako peke yako mzee, future na dem ni nyongeza tu

Anyway usiponielewa itakua bado wewe ni mtoto na ukibanwa zaidi ya hapo ndo utanielewa na itakua too late
Samahani naomba nianze kukushauri kwa tusi dogo la reja reja, we ni tako la afisa usalama, nije kwenye ushauri sasa, ndugu yangu umejaribu kufikiri huyo mwanamke ametoa wapi ujasiri wa kusema anawapenda wote mbele yako ili hali huyo jamaa hayupo? we matako sikia, huyo mwanamke hakupendi, unatumika na she is not suitable for future use, embu jikite kwenye kusoma bado ubongo wako ni mdogo mno kupambana na hawa popobawa kihisia, achana na mapenzi jaribu punyeto ikusaidie, mapenzi haya tuachie sisi wadogo zake na shetani weye mbinu bilioni moja za kupambana na hao vibwengo, mbwa kabisa wewe ndugu yangu, pole lakini
 
Piga pumbu mkuu ........yaaan upo chuo unawaza demu wa kumuoa [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]. Ndo nyie mnamaliza chuo hamna hata cent


Then mnaanza kuilaumu serikali
 
nimeshangaa sana, hata kama mapenzi upofu huwezi nichanganya na mtu mwingine nijue alafu nione sawa. binafsi huwa sina uvumilivu huo, nadhani Mungu wakati ananiumba alisahau kuniwekea🤣🤣
Sema huyo binti atakua ni jasiri sana kama mpaka anaweza mtamkia mdau mbele yake kwamba kumuacha haiwezekani na anaona fyucha huku na kule duh.....

namshauri mleta mada kwamba ampe binti "mitano tena na miwili ya nyongeza" 😂
 
Habari yenu wana jamvi!
Natumai mu wazima wa afya.

Nisipoteze Muda iko hivi

Kuna binti mmoja hapa chuoni niko Nae kwenye mahusiano kwa miezi 6 sasa
Ninampenda & analifahamu Hilo.

Ndo niliepanga toka awali awe Mama watoto (Kama Mungu atabariki) .

Nimekuja kugundua Yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine huko kwao.

Nimembana amenambia kila kitu na amesisitiza nisimuache kwani ananipenda sana.
Nimemuomba aachane na huyo Jamaa Kama kweli ananipenda ila amesema na yeye anampenda pia.
Nimemuuliza Kama ana future nae
Kaniambia anaona future pande zote( kwetu wote).

Hebu nisaidieni wakubwa
Make Niko njia panda
Kumpenda nampenda sana.

Jf is my home where I can get every advice I need.

Umeenda kusoma au umeenda kuanzisha mahusiano.kuna vyuo na baazi ya masomo ulisha disco siku nyingi,fata kilichokupeleka
 
Sema huyo binti atakua ni jasiri sana kama mpaka anaweza mtamkia mdau mbele yake kwamba kumuacha haiwezekani na anaona fyucha huku na kule duh.....

namshauri mleta mada kwamba ampe binti "mitano tena na miwili ya nyongeza" 😂
Atakapokuwa anahangaika kumpigia kura ya mitano tena utasikia "baby nina mimba yako" hapo ndipo atakapoelewa A na a zote zina sound moja😄😄😄😄
 
Chuo ni sehem ya kupita tu keep it on your mind.

Sehem ya kujirusha na kujiachia ni chuo .

Ninacho weza kukushauri enjoy uwezavyo iyo k ipige tu kupunguza ugumu ili maisha ya chuo yawe mepesi . Wewe kwenye Mambo ya kutafuta mchumba bado Sana unachangamoto nyingi Sana hata ukimpata huyo mchumba mwenyewe....relax dogo wewe zitembezee rungu tu na kupiga msuli basi no love chuo . Ukipuuza hii utanikumbuka
Mkumbushe kuwa ndio sehemu muhimu sana tena sanaa za kutengeneza connection tofauti tofauti + kutengeneza mahusiano mazuri na watu muhimu sio wa hovyo hovyo.
 
Back
Top Bottom