Mapenzi yanauma jamani

ningekufwa

Ndio uache maswal ya kizembe. Halafu ww mgen ktk mapenz hicho tu umeumia moyo. Wenzio wanakuta mtu yupo chumban kati kati ya mambo yetu na bado wanasamehe. Huo moyo wa kike ulio nao hata mimi msichana nina moyo mgumu kuliko ww loo
 
Du mkuu, yani Hapo ndo umeumuaaaaa mpaka unasema mapenzi yanatesa, yani kitu kidogo hivyo hadi unaomba ushauri, nahisi ukipata jaribu lingine la mapenzi tutasema buriani na kuimba kitambo tutakutana mana utakatisha uhai wako
 
mbona wajipa mtihani wa ajabu, ye kaona namba ngeni kauliza "ni nani" hiyo si hali ya kawaida maana namba ni ngeni....ingekuwa labda angetaja jina la mwanaume mwingine hapo sawa ila kahoji tu nani sa we maumivu ya nini, na pia acha kupima kwa njia hiyo, kuna mambo mengi ya kumpima sio kujipa id mpya
 
hayajakukuta tatizo
wewe usiseme upuuzi wa hayajakukuta wala nini..
mwanaume kama mwanaume unatakiwa uwe na moyo wa uvumilivu...
huyo ni gf wako , siyo mkeo ,, hujaoa ,,,una zini nae tu ovyo...kwahiyo yakikukuta usijidai kuja apa kuomba msaada wa kipuuzi
kama wewe umeweza wenzio washindwe nini...

kila siku nasemaga uzuzu hauitaji mahalifa...

hujaoa huna haki naye,,kwahiyo akikuumiza kaza pumbu nawe jipooze uko ulipo { maana long distance ndo kazi mnayofanya kama hamjaoana ni kulala nje ovyo ovyo mpaka pale utakaporejea kwa mwenzio}

ukioa ,, yani akishakua mkeo wa ndoa, akisumbua ndo uje hapa tukushauri

ila kama mnakatana kama mabata afu mnakuja kulia lia apa mapenz ,, ,utaambulia shiti
 
Ukiendelea na utoto wako utagongewa adi ukome, Ni mwanamke gan anaependa mitoto kama ww
 
Acha utoto bwana! Mbona sioni shida hapo!!! Jiamini kijana.
 
Ndio uache maswal ya kizembe. Halafu ww mgen ktk mapenz hicho tu umeumia moyo. Wenzio wanakuta mtu yupo chumban kati kati ya mambo yetu na bado wanasamehe. Huo moyo wa kike ulio nao hata mimi msichana nina moyo mgumu kuliko ww loo

nyie wasichana mna matatizo sana
 
Du mkuu, yani Hapo ndo umeumuaaaaa mpaka unasema mapenzi yanatesa, yani kitu kidogo hivyo hadi unaomba ushauri, nahisi ukipata jaribu lingine la mapenzi tutasema buriani na kuimba kitambo tutakutana mana utakatisha uhai wako

me nilikuwa sipend,huyu ndo kanifanya niwe na moyo wa upendo
 

mkuu mim huwa ananipima mara nying tu
 

unazidi kuuchoma moyo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…