Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

Bana acha utoto,hizo tu nisalamu kati ya watoto wa kike na wanaume,jitaid kukua basi
 
unazidi kuuchoma moyo wangu

pole mkuu, ila jitahidi kujipanga kimaisha na uoe..wanawake wapo wengi

mie niliyemuoa siye niliyekuja tarajia kuoa..nilikaa na mtu miaka mitano ya uhusiano ila tukaja shindwana maana wanawake akili zao wanazijua wenyew so usiumize bichwa lako bureee..
 
Ulitaje?
Ulitaka a-chart na mtu asiyemjua?
Ulitaka atumie njia gani labda kukuliza kuwa wewe ni nani?

Jamii ya wanaume mnaosusa manatutia aibu.
I mean jamii ya wavuana
 
Wakuu nina g.f wangu tumedumu kwa mwaka sasa,ambaye tupo mikoa tofauti na tunapendana sana.Jana asubuhi nlijaribu kumtext kwa namba nyingine ili nione kam nko peke angu au vp.Nikamwambia mamb ma lov,akajibu poa.Akauliza nan nikamwambia si mpenzi wako!akasema ni nani nimtajie jina.Nilichoka kwa kweli nikamwambia p.Baada ya hapo akawa ananipgia na kutext kwenye line yang bt sikujibu nikamwambia niko bize ntakuchek badae.Toka hiyo jana adi saiz ni kimya kabisa na mim sijamtafuta.je ananipenda kweli au maana hapo naugulia maumivu ya moyo:msaada Plz
Una miaka mingapi
 
jaribu kumwibukia kwa kumstukiza siku ya ijumaa! uniangia pale jion saa mbili ucku vuuupu.............. kama hujakunatana na kijepa ndani...
 
sasa mkuu mbona ananipenda sana na anasema hawezi kuwa na mwanaume mwingine zaid yangu,na nikikutana nae tunaposex kitu kinakuwa mnato kabisa

girl herself & her p#$@y are all mystery.... utapgiwa tu.... maneno yake na mnato wako sio sababu ya yy kuwa hajapgwa
 
Wakuu nina g.f wangu tumedumu kwa mwaka sasa,ambaye tupo mikoa tofauti na tunapendana sana.Jana asubuhi nlijaribu kumtext kwa namba nyingine ili nione kam nko peke angu au vp.Nikamwambia mamb ma lov,akajibu poa.Akauliza nan nikamwambia si mpenzi wako!akasema ni nani nimtajie jina.Nilichoka kwa kweli nikamwambia p.Baada ya hapo akawa ananipgia na kutext kwenye line yang bt sikujibu nikamwambia niko bize ntakuchek badae.Toka hiyo jana adi saiz ni kimya kabisa na mim sijamtafuta.je ananipenda kweli au maana hapo naugulia maumivu ya moyo:msaada Plz

Furaha ya mwanamke ni kutongozwa tongozo za kutosha kwa mwezi
hivyo usishangae sana kwani pweza ukimchokoa sana huwezi kumla.
 
Back
Top Bottom