Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi magufuli apige marufuku watu kupenda penda hovyo kama huyu mtoa mada.
Matatizo mengine mnayatakaga wenyewe tu. Ila hapo sijaona cha kukufanya unune.
me sijanuna mkuu
Bana acha utoto,hizo tu nisalamu kati ya watoto wa kike na wanaume,jitaid kukua basi
Asa hapo kilichokuumiza ni kipi?
ndiyo mkuu
mi sijaelewa shida iko wapi hapo
pole mkuu, ila jitahidi kujipanga kimaisha na uoe..wanawake wapo wengi
mie niliyemuoa siye niliyekuja tarajia kuoa..nilikaa na mtu miaka mitano ya uhusiano ila tukaja shindwana maana wanawake akili zao wanazijua wenyew so usiumize bichwa lako bureee..
sasa mkuu mbona ananipenda sana na anasema hawezi kuwa na mwanaume mwingine zaid yangu,na nikikutana nae tunaposex kitu kinakuwa mnato kabisa
Una umri gani mkuu
Hapo sasa ndiyo pakujua anapendelea nini ambacho wewe huwezi kumpa.
Jaribu ushoga...I mean ya jinsia moja labda hayaumi
Asa ww ulitaka akujibu vipi ujue upo pekeyako