Mapenzi yanauma jamani

Mapenzi yanauma jamani

je ananipenda kweli au maana hapo naugulia maumivu ya moyo:msaada Plz

Of all the pains and complications that relationships can bring, u call this pain?
Kwamba uhusiano unaona uko shwari ndo unaenda kustir trouble? Young man, do not entice problems because u can't handle them even when they come accidentally. Wacha uf*la
 
ni mpenzi wangu na nampenda sana dats naumia
Nimpenzi wako na unampenda sana ndio mana unaumia? sasa sikia Ukimchunguza sana kuku ana kula nini anapita kwenye mitaro,anakula kinyesi au laa,amekunywa maji machafu au laa ATAKUSHINDA KUMLA,mpenzi wako akiwa kama binadamu
huenda akakukosea zaidi ya hayo unaweza ukakuta sms ambayo haita kuridhi chakufanya Acha kumfatilia kama umekubali kumuamini basi amini kwa asilimia 100 au sivyo Utakuja kujitundika kama ni wale wanaopenda kujiua au atakuja kuumia,narudia tena nimpenzi sio mke kwa hiyo hata kukwambia nimeolewa uwezekano upo kwa asilimia 100...
 
Of all the pains and complications that relationships can bring, u call this pain?
Kwamba uhusiano unaona uko shwari ndo unaenda kustir trouble? Young man, do not entice problems because u can't handle them even when they come accidentally. Wacha uf*la

for me pains from love affairs haven't camparable ones
 
Nimpenzi wako na unampenda sana ndio mana unaumia? sasa sikia Ukimchunguza sana kuku ana kula nini anapita kwenye mitaro,anakula kinyesi au laa,amekunywa maji machafu au laa ATAKUSHINDA KUMLA,mpenzi wako akiwa kama binadamu
huenda akakukosea zaidi ya hayo unaweza ukakuta sms ambayo haita kuridhi chakufanya Acha kumfatilia kama umekubali kumuamini basi amini kwa asilimia 100 au sivyo Utakuja kujitundika kama ni wale wanaopenda kujiua au atakuja kuumia,narudia tena nimpenzi sio mke kwa hiyo hata kukwambia nimeolewa uwezekano upo kwa asilimia 100...

yey anaumia kivp
 
Wakuu nina g.f wangu tumedumu kwa mwaka sasa,ambaye tupo mikoa tofauti na tunapendana sana.Jana asubuhi nlijaribu kumtext kwa namba nyingine ili nione kam nko peke angu au vp.Nikamwambia mamb ma lov,akajibu poa.Akauliza nan nikamwambia si mpenzi wako!akasema ni nani nimtajie jina.Nilichoka kwa kweli nikamwambia p.Baada ya hapo akawa ananipgia na kutext kwenye line yang bt sikujibu nikamwambia niko bize ntakuchek badae.Toka hiyo jana adi saiz ni kimya kabisa na mim sijamtafuta.je ananipenda kweli au maana hapo naugulia maumivu ya moyo:msaada Plz


Kufumania inataka uwe umejiandaa..... UTATAFUTA MAMBO UKIYAKUTA UNAKUJA KULIA LIA HUKU....
 
Pole sana, na ngoja nikwambie kitu usichokijua ukijidanganya ukamwacha huyo mpnz wako kwa sababu ya hiyo text pasipo kufanya uchunguzi utakuja kujuta baaadae. Kwanza kuitikia hajafanya jambo baya kuitana my love siku hzi hata wasichana wanaitana. love, my, mylove, swthat majina yoteeeeeeeeeeeeeeee unayotaka ww uitwe siku hizi wasichana marafiki wanaitana kama majina ya kawaida tu. Tatizo mshaweka akilini kuwa ukimtext msichana hivyo aanze kwa kukushushia mitusiiiiiii weeeeeeeee halafu baadae mseme tatizo la wasichana hawana lugha nzuri ama angekushushia mitusi ungejisifu uko peke yako au angeliendeleza je c ndio ungezimia.

Lakini katumia lugha nzuri kujibu halafu kilichofuata akauliza kwa ustarabu mpnz wangu nani cz ni namba mpya c kuwa ana wapenz wengi na kumbuka ni namba mpya ingawa simtetei na wala cmfahamu. Na kuhusu kuuchuna pengine kakacrika why kumtega as if humuamini ingawa c strong point khvyo? Baadhi ya wasichana huwa wanazira zira mapema.

Kaa chini zungumza naye pia endeleza uchunguzi.
 
Pole sana, na ngoja nikwambie kitu usichokijua ukijidanganya ukamwacha huyo mpnz wako kwa sababu ya hiyo text pasipo kufanya uchunguzi utakuja kujuta baaadae. Kwanza kuitikia hajafanya jambo baya kuitana my love siku hzi hata wasichana wanaitana. love, my, mylove, swthat majina yoteeeeeeeeeeeeeeee unayotaka ww uitwe siku hizi wasichana marafiki wanaitana kama majina ya kawaida tu. Tatizo mshaweka akilini kuwa ukimtext msichana hivyo aanze kwa kukushushia mitusiiiiiii weeeeeeeee halafu baadae mseme tatizo la wasichana hawana lugha nzuri ama angekushushia mitusi ungejisifu uko peke yako au angeliendeleza je c ndio ungezimia.

Lakini katumia lugha nzuri kujibu halafu kilichofuata akauliza kwa ustarabu mpnz wangu nani cz ni namba mpya c kuwa ana wapenz wengi na kumbuka ni namba mpya ingawa simtetei na wala cmfahamu. Na kuhusu kuuchuna pengine kakacrika why kumtega as if humuamini ingawa c strong point khvyo? Baadhi ya wasichana huwa wanazira zira mapema.

Kaa chini zungumza naye pia endeleza uchunguzi.
 
Of all the pains and complications that relationships can bring, u call this pain?
Kwamba uhusiano unaona uko shwari ndo unaenda kustir trouble? Young man, do not entice problems because u can't handle them even when they come accidentally. Wacha uf*la

Umeongea POINT Mkuu
 
Wakuu nina g.f wangu tumedumu kwa mwaka sasa,ambaye tupo mikoa tofauti na tunapendana sana.Jana asubuhi nlijaribu kumtext kwa namba nyingine ili nione kam nko peke angu au vp.Nikamwambia mamb ma lov,akajibu poa.Akauliza nan nikamwambia si mpenzi wako!akasema ni nani nimtajie jina.Nilichoka kwa kweli nikamwambia p.Baada ya hapo akawa ananipgia na kutext kwenye line yang bt sikujibu nikamwambia niko bize ntakuchek badae.Toka hiyo jana adi saiz ni kimya kabisa na mim sijamtafuta.je ananipenda kweli au maana hapo naugulia maumivu ya moyo:msaada Plz

Ungekuwa karibu ningekuzaba kofi
 
sasa mkuu mbona ananipenda sana na anasema hawezi kuwa na mwanaume mwingine zaid yangu,na nikikutana nae tunaposex kitu kinakuwa mnato kabisa

siku ukijua ukweli kichwa kitakaa sawa,unampima huyo msichana wako kwa maneno na sex,mdogo wangu kuna mambo mengi duniani ya kufanya
 
Back
Top Bottom