Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu usirudie kosamapenzi yanauma sana
Yupo kwenye early 20's, angalia na uhalisia, unajuwa zile korean dram hazi fit kwa huku TzNakazia
Movie zinawadanganya sana hawa watoto, ndio maana wanalia lia tu kila sikuYupo kwenye early 20's, angalia na uhalisia, unajuwa zile korean dram hazi fit kwa huku Tz
Kabisa, zile ni dramaMovie zinawadanganya sana hawa watoto, ndio maana wanalia lia tu kila siku
Kitu ambacho sipendi ni kumdanganya, nakuchana ukweli...asiponipenda atembee mbeleOya hii kitu htarii! nimemdanganya shemeji yenu mpaka uongo umeisha nowdays niko tu kimya na simu za hapa na pale #ukwelihumuwekamtuhuru hata ukiachwa ndio uhuru wenyewe huo
Sasa mbona hunitaki?Nyie ndo wanaume mnaojiamini sasa.🌸🌿💮
hayana formulaSasa mbona hinitaki?
Hawa wanaume wa ivi wanatesa jmn basi tuCha kushangaza kuna wale ambao tunawapenda hivyo hivyo bila kujali wana pesa au hawana,wana Mali au hawana,yani tunawapenda jinsi tu walivyo bila kuangalia madhaifu yao,lkn Hawa ndio wale ambao hata hawaelewe na hawathamini upendo wetu kwao,wanatuona wajinga na hatuna pa kwenda,life is not fair at all
Hana vigezo ninavyovitaka.
Hana matako huyo mi wa nini?
Ah wapi..anachangamsha genge .usimtoe relini..kavurugwa na mpenzi wake leo huyu
kwakweli alaaniwe huyo mdada[emoji23],, usikute ni wa jf[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2960]
Usitufanyie hivyo Pridah... tuwekee ka-video tuone mtoto ulivyo msingi kiuno 😋🤤😅👍🏾May you have a blessed week end mkuu