Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Kwa Nkapa hatoki ntu!! Huu mwezi nao hamtoboi mshauanza vibaya dadeq [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ladies zamu yetu kutesa hawa viumbe, tuwapige matukio mpk mishono ya uzazi ya mama zao ifumuke kabisaaa
mshamba ndo last man standing😂
 
Nyie nao mmezidi by the way mkuu unataka wadada wapende nini wasipopenda hela..?
I do calculate some calculation I can't get any answers more than money!..
They do have to love it,akupende na umasikini umpake shida..??[emoji28]
Watu wana underrate sana nguvu ya pesa.

Yaani watu wanauza bandari kwa sababu ya hizi hizi hela, sembuse mtoto wa mtu ulie kutana nae stand sijui kariako. Haimake sense hata kidg, muhimu ni kutafuta chimbo unalo limudu
 
Maana yake tuwadanganye tunasubiria mchongo?🤣🤣🤣🤣
Oya hii kitu htarii! nimemdanganya shemeji yenu mpaka uongo umeisha nowdays niko tu kimya na simu za hapa na pale #ukwelihumuwekamtuhuru hata ukiachwa ndio uhuru wenyewe huo
 
Back
Top Bottom