Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Bora uumwe ugonjwa wowote maana ukipata dawa utapata relief au kupona kabisa kuliko kuumwa ugonjwa wa akili unaotokana na kuumizwa kimapenzi haswa kwa mtu uliyemuamini na kumkabidhi moyo wako na kuonesha mapenzi Yako ya dhati kwake.

Wasababishi wakuu wa hili tatizo kwa asilimia kubwa ni wanawake kutokana na tamaa zao wanawaacha wapenzi wao kisa tu hali ya kimaisha na kwenda kwa vibosile, inaumiza sana asikwambie mtu na kama huja experience basi bado hujakua au bado hujapenda.

Sasa ubaya wa hili tatizo unafanya wanaume wengi kuwa waongo waongo, kuwa walevi na kuwa wanunuzi wa "Mbususu" wachape zao wapite mbele.

Nyie wanawake dhambi ya usaliti itawatafuna mnapenda sana hela nyie kuliko mapenzi ya dhati.
Hizi shutuma ni nzito sana...zipuuziwe
 
Hebu tukaribishe sabato kwa amani mkuu sweet potatoes wangu.
Iam in a happy mood please please join me mkuu.[emoji7]
Tatizo lako una wivu sana kama nyegere kizur kula na ndugu yako
 
Bora uumwe ugonjwa wowote maana ukipata dawa utapata relief au kupona kabisa kuliko kuumwa ugonjwa wa akili unaotokana na kuumizwa kimapenzi haswa kwa mtu uliyemuamini na kumkabidhi moyo wako na kuonesha mapenzi Yako ya dhati kwake.

Wasababishi wakuu wa hili tatizo kwa asilimia kubwa ni wanawake kutokana na tamaa zao wanawaacha wapenzi wao kisa tu hali ya kimaisha na kwenda kwa vibosile, inaumiza sana asikwambie mtu na kama huja experience basi bado hujakua au bado hujapenda.

Sasa ubaya wa hili tatizo unafanya wanaume wengi kuwa waongo waongo, kuwa walevi na kuwa wanunuzi wa "Mbususu" wachape zao wapite mbele.

Nyie wanawake dhambi ya usaliti itawatafuna mnapenda sana hela nyie kuliko mapenzi ya dhati.
Tayari ushapigwa
 
Sasa ukiniacha lawama ni za nani?

Mimi nikikuacha utanilaani lkn ukiniacha roho yangu ni nyepesi kiroho safi muda ukifika navua CHUMA kipya kikali zaidi🤣🤣🤣🤣

Lkn nikikuacha nitajisikia hatia sitakuwa na amani ya moyo.
Kumbe!! kwani mara ya mwisho kuacha mtu ni lini hata bado unakumbuka mambo ya kujisikia hata?
 
Cute wife ila afya ya penzi lako na cantri limezorota ila uko busy na watu[emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji1751][emoji28][emoji28][emoji28]

Kantri wangu iwe mvua au jua, sema kajipa likizo ya kujipooza machungu kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ya watu siachi kufatilia mpk mniue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanaume muda Mwingine Tunakosea ni Sisi, Tunatumia moyo instead of akili , Unaona nyama kumbe Kwa wenzio ni fupa 🥲.

Hatuulizani, Wana Tukikuambia unasema Tunakuonea wivu
 
Kumbe!! kwani mara ya mwisho kuacha mtu ni lini hata bado unakumbuka mambo ya kujisikia hata?
Mimi huwa siachi, naacha nikiachwa.
Very simple.
Nikipenda ujue nimetafiti nikagundua huyu mdhaifu wangu naweza kuyabeba madhaifu yake.

Hivyo kuacha aniache yeye ndipo nimuache🤣🤣🤣

Najua hutanielewa.

Kuachika maana yake ni pale akikiuka misingi muhimu ya mapenzi..
1. Amecheat...maana yake amejiondoa

2. Mshirikina...amejiondoa

3. Mgomvi amejiondoa

4. Muongo amejiondoa.
 
Kantri wangu iwe mvua au jua, sema kajipa likizo ya kujipooza machungu kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ila ya watu siachi kufatilia mpk mniue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shem njoo mchukue mtu wako anatusumbua huku Countrywide
 
Back
Top Bottom