Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Mapenzi yanaumiza sana moyo, jitahidi unapopendwa pendeka na heshimu hisia za mwenzako

Hawezi kuja ana hasira sana, katoa talaka 3[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hasira zikimuisha anakuja kuchana tunaendelea [emoji2222]
Ngoja utungiwe Wimbo kama Stamina alivyofanya ndio utajua hujui!
 
Sasa ushinde unabembeleza vitu vya kijinga vya nini, wakati wengine wanavyo vitraaamu kuzidi [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] utraaamu mpk kisogoni
Anang'ang'aniaga kusiko mwache afe na shida zake akamuliwe vijiechenji mpaka azeeke
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nikimpa vya uswazi mwenyewe anaenda TCRA kuomba wimbo ufungiwe
Juzi niliangalia insta page Moja ya umbea nikakuta dada karuka ule msamba ulisema wa kwenda kumdai shoga asie na Fadhila,nilijikuta nacheka sana nikaconclude huyu lazima ni cute wife
 
Juzi niliangalia insta page Moja ya umbea nikakuta dada karuka ule msamba ulisema wa kwenda kumdai shoga asie na Fadhila,nilijikuta nacheka sana nikaconclude huyu lazima ni cute wife

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
Hatareee kabisaa udugu analeta mbambamba hataki kurudisha fadhila, pesa zenyewe tumekopa kausha damu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na atazeeka atakuwa km mkata mkaa we mwache ajifanye mapenzi kazaliwa nayo
Anaowataka ni wale wanaowaza mabillioni sio maelfu na hawamtaki sasa ndio ukweli anajikombaje hadi ameotwa kiparaa ,wananunuliwa marange yeye anatembelea IST wapi na wapi angewapenda saizi yake angeshaoa ila ni maisha yake😉
 
Bora uumwe ugonjwa wowote maana ukipata dawa utapata relief au kupona kabisa kuliko kuumwa ugonjwa wa akili unaotokana na kuumizwa kimapenzi haswa kwa mtu uliyemuamini na kumkabidhi moyo wako na kuonesha mapenzi Yako ya dhati kwake.

Wasababishi wakuu wa hili tatizo kwa asilimia kubwa ni wanawake kutokana na tamaa zao wanawaacha wapenzi wao kisa tu hali ya kimaisha na kwenda kwa vibosile, inaumiza sana asikwambie mtu na kama huja experience basi bado hujakua au bado hujapenda.

Sasa ubaya wa hili tatizo unafanya wanaume wengi kuwa waongo waongo, kuwa walevi na kuwa wanunuzi wa "Mbususu" wachape zao wapite mbele.

Nyie wanawake dhambi ya usaliti itawatafuna mnapenda sana hela nyie kuliko mapenzi ya dhati.
Ni kweli Mwachiluwi soma hi
 
Back
Top Bottom