Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Hawa ni jamii ya watu wa eneo la Midde East ambao waliadopt culture ya Kiarabu na dini ya Kiislam Mfano Syria, LebanonHao wanaoitwa Levant Arabs sasa hivi hawafanani na waarabu wowote
Which means wapo hapo kabla ya kiumbe yoyote yuleHawa ni jamii ya watu wa eneo la Midde East ambao waliadopt culture ya Kiarabu na dini ya Kiislam Mfano Syria, Lebanon
Hao wapo kitambo hata kwenye Biblia wanatajwaWhich means wapo hapo kabla ya kiumbe yoyote yule
Ugomvi ulianzia tumboni mwa mama yaoMiaka ya nyuma kabla ya kuzaliwa Kristo (BC) kulitokea mapigano kati ya Waisrael na Wakaanani ambao ndio wenyeji wa eneo hilo wa kabila la Wafilisti ambao ndio Wapalestina wa sasa
Waisrael walikuwa wakiaminika kuwa ni wacha Mungu na Wafilisti walidaiwa kuwa wapagani kwa wakati huo
Katika vita hiyo nabii Daudi alipambana Goliati ambaye alikuwa Mfilisti na Daudi kufanikiwa kumuua Goliati kwa kumpiga na kombeo kichwani
Inaaminika kwamba Wafilisti walikuwa ni mijitu yenye miili mikubwa hivyo Daud Muisrael alikuwa na kamwili kadogo lakini alimshinda Goliati kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye na ndugu zake Waisrael
Pia kwa kuwa kwa mujibu wa maandiko ya dini Mungu aliwaahidi Waisrael kuwapa mji huo wa Kanani wa Wafilisti (Wapalestna) ndio maana kila wakati kwenye vita kati ya pande hizo mbili Wasrael ndio wanaoshinda na kuungwa mkono na mataifa makubwa ya dunia hii
Awali maandiko kwenye misahafu na maandishi ya wanazuoni wa dini vinasema kuwa wana Wa Israel walikwenda utumwani nchini Misri kwa kipindi kirefu takribani miaka elfu nne
Mungu alisikia kilio cha Israel kutokana na mateso waliokuwa wakiyapata nchini Misri baada ya ndugu yao Yusufu aliyekuwa akiaminiwa na mfalme Farao (Firauni) kufariki dunia
Hivyo Mungu akawahidi wana wa Israel kuwapa nchi ya maziwa na asali ambayo ni Kanani
Ndipo Mungu alipomuinua Musa aende kwa Farao kuwapa ruhusa watu wake Israel watoka utumwani hapo Misri ili waende kumuabudu Mungu na kumtolea sadaka kwenye nchi hiyo ya ahadi Kaanani
Firauni alikuwa mbishi kuwaachia wana wa Israel lakini mapigo aliyopigwa na Mungu hatimaye mwenyewe alisalimu amri akawapa ruhusa Waisrael watoke Misri
Aidha kutokana na Waisrael kutokuwa wavivu na kuwa watu wanafanyakazi nyingi vizuri na ngumu pale Misri na kuifanya nchi hiyo kujitegemea kwa chakula ukilinganisha na Waarabu wenyeji wa Misri
Lakini nabii Musa alimkera Mungu ndipo Mungu alipomwambia hataingia Kaanani hakika atakufa kwa hiyo Waisrael waliingizwa nchi ya ahadi ya Kanani na nabii Joshua
Waisrael walipoingia Kaanani wakauteka mji huo kwa kushinda vita dhidi ya wenyeji wa mji huo ambao ni Wafilisti (Wapalestina) na kuwafurusha na kukaa eneo hilo
Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia Adolf Hittler alilisambaratisha Taifa la Israel na kuwaua Wayahudi wengi wale wachache waliosalia wakakimbilia uhamishoni kwenye nchi mbalimbali duniani
Ndipo kipindi hicho Wapalestina wakarejea kwenye mji wao huo wa zamani wa asili wa mababu zao wa Kanani
Baadaye kwenye miaka ya 60 Waisrael wakajiunda tena wakazaliana wakaongezeka na kudai kurejea eneo la Mahariki ya kati kwenye miji yao ya asili waliyopewa na Mungu ya Jerusalemu, Kanani na maeneo mengine ya wakiamini ndio asili yao wakitumia ramani ya kwenye kitabu chao cha dini ya Kiyahudi
Ndipo Umoja wa Mataifa wakagawa baadhi ya miji wakapewa Wapalestina na baadhi wakapewa Waisrael mfano kwenye mji mkongwe wa Jeusalemu upande wa mashariki wa mji huo wamepewa Wapalestina na magharibi wanapewa Israel lakini bado kila mmoja haridhiki na eneo alilogawiwa
Hivyo sababu hiyo ya kugombea ardhi ndio uhasama ulipo kati ya Israel na Wapalestina tangu enzi za nabii Daudi hata kabla ya Kristo mpaka zama hizi za kizazi cha kisasa cha dot com na kistaarabu bado tu hakuna uelewano kati yao
Aidha inasemekana ugomvi huu wa pande hizi mbili kati ya Israel na Palestina hauwezi kwisha mpaka MASIHI WA BWANA YESU KRISTO ATAKAPO RUDI TENA MARA YA PILI DUNIANI UKIONA UGOMVI HUO UMEISHA UJUE KIAMA KIMEKARIBIA TUTUBU DHAMBI ZETU
Waliokuwa wanaugomvi tangu kwenye tumbo la mama yao ni Esau na Yakobo baadaye huko mbele ya safari ndio kinakuja kuzaliwa kizazi cha nabii Rutu ndio kinatokea kizazi cha Waisrael na PalestinaUgomvi ulianzia tumboni mwa mama yao
Sasa unaposema Waisrael sio Wakaanani unamaani nini hapo?Waisraeli sio Wakanaani.
Ugiriki (Greece Empire) na Roma (Roman Empire) zilikuja baadaye sana Mashariki ya kati. Hawana vinasaba (DNA) yoyote na Waisraeli
Unajua Waisraeli waliambiwa wasioe au wasiolewe na wa Kanaani walipoingia nchi ya ahadi
Lakini baadhi ya Waisraeli walianza kuoa na kuolewa na Wakanaani
Inamaanisha kuna damu ilichanganyika ya Waisraeli na Wakanaani (Wapalestina)
Kuna kabila la Ngoni kutoka S.A walikuja Tanzania wakachanganyika na jamii ya Watanzania je, tutasema Watanzania ni Wasouth?Sasa unaposema Waisrael sio Wakaanani unamaani nini hapo?
Ukitaka kuelezea hii historia anzia kwa baba wa Imani, Ibrahim. Kwamba baada ya Sara kupata mtoto wake wa kiume Isaka ilimlazimu Hajir aliyekuwa kijakazi wa Kimisri (Mwarabu) aliyezaa na Ibrahim afurushwe na Mwanae Ishumael. Wakati huo Ibrahim alikaa maeneo ambayo kwa leo ni Iraqi, na huyu Ishumael ndiye chimbuko la Wapalestina wa leo wakati Isaka ndiye chimbuko la Waisrael wa leo kupitia kwa Mwanae Yakobo (Israeli mwenyewe) aliyewazaa akina Yusufu na nduguze 11.Miaka ya nyuma kabla ya kuzaliwa Kristo (BC) kulitokea mapigano kati ya Waisrael na Wakaanani ambao ndio wenyeji wa eneo hilo wa kabila la Wafilisti ambao ndio Wapalestina wa sasa
Waisrael walikuwa wakiaminika kuwa ni wacha Mungu na Wafilisti walidaiwa kuwa wapagani kwa wakati huo
Katika vita hiyo nabii Daudi alipambana Goliati ambaye alikuwa Mfilisti na Daudi kufanikiwa kumuua Goliati kwa kumpiga na kombeo kichwani
Inaaminika kwamba Wafilisti walikuwa ni mijitu yenye miili mikubwa hivyo Daud Muisrael alikuwa na kamwili kadogo lakini alimshinda Goliati kwa kuwa Mungu alikuwa pamoja naye na ndugu zake Waisrael
Pia kwa kuwa kwa mujibu wa maandiko ya dini Mungu aliwaahidi Waisrael kuwapa mji huo wa Kanani wa Wafilisti (Wapalestna) ndio maana kila wakati kwenye vita kati ya pande hizo mbili Wasrael ndio wanaoshinda na kuungwa mkono na mataifa makubwa ya dunia hii
Awali maandiko kwenye misahafu na maandishi ya wanazuoni wa dini vinasema kuwa wana Wa Israel walikwenda utumwani nchini Misri kwa kipindi kirefu takribani miaka elfu nne
Mungu alisikia kilio cha Israel kutokana na mateso waliokuwa wakiyapata nchini Misri baada ya ndugu yao Yusufu aliyekuwa akiaminiwa na mfalme Farao (Firauni) kufariki dunia
Hivyo Mungu akawahidi wana wa Israel kuwapa nchi ya maziwa na asali ambayo ni Kanani
Ndipo Mungu alipomuinua Musa aende kwa Farao kuwapa ruhusa watu wake Israel watoka utumwani hapo Misri ili waende kumuabudu Mungu na kumtolea sadaka kwenye nchi hiyo ya ahadi Kaanani
Firauni alikuwa mbishi kuwaachia wana wa Israel lakini mapigo aliyopigwa na Mungu hatimaye mwenyewe alisalimu amri akawapa ruhusa Waisrael watoke Misri
Aidha kutokana na Waisrael kutokuwa wavivu na kuwa watu wanafanyakazi nyingi vizuri na ngumu pale Misri na kuifanya nchi hiyo kujitegemea kwa chakula ukilinganisha na Waarabu wenyeji wa Misri
Lakini nabii Musa alimkera Mungu ndipo Mungu alipomwambia hataingia Kaanani hakika atakufa kwa hiyo Waisrael waliingizwa nchi ya ahadi ya Kanani na nabii Joshua
Waisrael walipoingia Kaanani wakauteka mji huo kwa kushinda vita dhidi ya wenyeji wa mji huo ambao ni Wafilisti (Wapalestina) na kuwafurusha na kukaa eneo hilo
Wakati wa vita kuu ya pili ya dunia Adolf Hittler alilisambaratisha Taifa la Israel na kuwaua Wayahudi wengi wale wachache waliosalia wakakimbilia uhamishoni kwenye nchi mbalimbali duniani
Ndipo kipindi hicho Wapalestina wakarejea kwenye mji wao huo wa zamani wa asili wa mababu zao wa Kanani
Baadaye kwenye miaka ya 60 Waisrael wakajiunda tena wakazaliana wakaongezeka na kudai kurejea eneo la Mahariki ya kati kwenye miji yao ya asili waliyopewa na Mungu ya Jerusalemu, Kanani na maeneo mengine ya wakiamini ndio asili yao wakitumia ramani ya kwenye kitabu chao cha dini ya Kiyahudi
Ndipo Umoja wa Mataifa wakagawa baadhi ya miji wakapewa Wapalestina na baadhi wakapewa Waisrael mfano kwenye mji mkongwe wa Jeusalemu upande wa mashariki wa mji huo wamepewa Wapalestina na magharibi wanapewa Israel lakini bado kila mmoja haridhiki na eneo alilogawiwa
Hivyo sababu hiyo ya kugombea ardhi ndio uhasama ulipo kati ya Israel na Wapalestina tangu enzi za nabii Daudi hata kabla ya Kristo mpaka zama hizi za kizazi cha kisasa cha dot com na kistaarabu bado tu hakuna uelewano kati yao
Aidha inasemekana ugomvi huu wa pande hizi mbili kati ya Israel na Palestina hauwezi kwisha mpaka MASIHI WA BWANA YESU KRISTO ATAKAPO RUDI TENA MARA YA PILI DUNIANI UKIONA UGOMVI HUO UMEISHA UJUE KIAMA KIMEKARIBIA TUTUBU DHAMBI ZETU
Ni kweli Ishamaeli mtoto wa mjakazi wa kimisri ambaye alikuwa mchepuko wa Ibrahim ndiye aliyezaa na Ibrahimu ndio uzao wa Waarabu na Waisrael ni uzao wa Mtoto wa ndoa wa Ibrahim toka kwa Sarah mkewe wa ndoaUkitaka kuelezea hii historia anzia kwa baba wa Imani, Ibrahim. Kwamba baada ya Sara kupata mtoto wake wa kiume Isaka ilimlazimu Hajir aliyekuwa kijakazi wa Kimisri (Mwarabu) aliyezaa na Ibrahim afurushwe na Mwanae Ishumael. Wakati huo Ibrahim alikaa maeneo ambayo kwa leo ni Iraqi, na huyu Ishumael ndiye chimbuko la Wapalestina wa leo wakati Isaka ndiye chimbuko la Waisrael wa leo kupitia kwa Mwanae Yakobo (Israeli mwenyewe) aliyewazaa akina Yusufu na nduguze 11.
Hivyo kusimulia hii historia kwa mlengo wa kiimani utaona hivi vita ni vya wanandugu wa baba mmoja yaani Ibrahim, lakini mama tofauti. Vita wakati wa Daud na Goriat ulikuwa ni mwendelezo wa uhasama uliokuwa umehasisiwa toka kuzaliwa kwa hawa wanandugu. Waisrael kukaa Kaanan na baadae kutawanyika na kurudi tena hakukuanzia na kukomea kwa Musa tu, hata hii ya kurudi kwao miaka ya 1948 baada ya kufurushwa na Hitler ilikuwa ni muendelezo wa kile kilichoanza enzi za Musa kuwatoa utumwani Misri.
Sawa kabisa Boi Manda, lakini huyo kijakazi hakuwa mchepuko bali Ibrahim alishauriwa na mkewe wa ndoa yaani Sarah, ajishindie huyo kijakazi ili apate walau mtoto atakae kuja kuwa mrithi wa mali za Ibrahim. Basi bwana, baada ya huyo kijakazi kumzalia Ibrahim huyo mtoto wa kiume, kijakazi akakunjua makucha na kuanza kumdharau Sarah ambae kwa muda mrefu wa ndoa alikuwa ajabahatika kupata mtoto.Ni kweli Ishamaeli mtoto wa mjakazi wa kimisri ambaye alikuwa mchepuko wa Ibrahim ndiye aliyezaa na Ibrahimu ndio uzao wa Waarabu na Waisrael ni uzao wa Mtoto wa ndoa wa Ibrahim toka kwa Sarah mkewe wa ndoa
Sasa Wapalestina wamatokana na ukoo wa nabii Nuhu ambaye alikuwa na watoto wawilili mmoja shem ambaye ndio climb uko la Wayahudi na mwingine akiitwa Hamu ndio chimbuko la Wapalestina na Waswahilii
Kula chuma hicho
Mgogoro huu inategea unauangalia kwa jicho gani. Ukiuweka kwa kuangalia haki za kibinadamu kinachofanywa na Israeli ni kitu kibaya sana thidi ya ubinadamu, lakini je kilichofanywa na Hamas kwa WaisraelWaisrael na Wapalestine wenyewe wanasemaje kuhusu huo mgogoro wao na sababu zake.
Maana wayahudi wenyewe hawaukubaki ukristo wala uislam lakini humu jukwaani sababu ya uhasama inanasibishwa na ukristo na uislam.
Wao humezesha vitu gani vizazi vyao? Huwapa sababu gani watoto wao za kupigana na kuwachukia wenzao
[emoji23][emoji23][emoji23]Mungu alimuahidi Ibrahim miaka mingi sana kuwa wazao wake au kizazi chake kingerithi nchi hiyo. Mpaka anakufa hakuona ahadi hiyo ikitimia.
Baadaye WAKANAANI wakaenda kuishi hapo kabla ya ahadi ya Mungu kutimia.
Inaweza kusemwa kwamba Wakanaani walikuwa wakaaji wa nchi ambayo haikuwa yao, tayari Mungu alipanga Waisraeli waishi hapo
Kizazi cha kipindi cha YOSHUA ndicho ambacho kiliona utimizo wa maneno ya ahadi hiyo aliyopewa babu yao Ibrahim miaka mingi iliyopita
Mungu aliruhusu Wasraeli wakiongozwa na jemedari Yoshua kuwaangamiza WAKANAANI na kutwaa eneo hilo.
Moja ya WAKANAANI waliopona kwenye shambulizi hilo ni yule kahaba RAHABU na familia yake
NB: WAKANAANI walikuwa wavamizi kwenye eneo ambalo tayari Mungu alipanga kimbele Waisraeli waende kuishi. Kwa hiyo natives ni watu wa kizazi cha Ibrahim (Waisrael)
Mungu alimuahidi Ibrahim miaka mingi sana kuwa wazao wake au kizazi chake kingerithi nchi hiyo. Mpaka anakufa hakuona ahadi hiyo ikitimia.
Baadaye WAKANAANI wakaenda kuishi hapo kabla ya ahadi ya Mungu kutimia.
Inaweza kusemwa kwamba Wakanaani walikuwa wakaaji wa nchi ambayo haikuwa yao, tayari Mungu alipanga Waisraeli waishi hapo
Kizazi cha kipindi cha YOSHUA ndicho ambacho kiliona utimizo wa maneno ya ahadi hiyo aliyopewa babu yao Ibrahim miaka mingi iliyopita
Mungu aliruhusu Wasraeli wakiongozwa na jemedari Yoshua kuwaangamiza WAKANAANI na kutwaa eneo hilo.
Moja ya WAKANAANI waliopona kwenye shambulizi hilo ni yule kahaba RAHABU na familia yake
NB: WAKANAANI walikuwa wavamizi kwenye eneo ambalo tayari Mungu alipanga kimbele Waisraeli waende kuishi. Kwa hiyo natives ni watu wa kizazi cha Ibrahim (Waisrael)
Baadaye WAKANAANI wakaenda kuishi hapo kabla ya ahadi ya Mungu kutimia.
Hivi huwa mnazingatia kitu gani kusema waisrael siyo waarabu?.Acha kupotosha umma wa watanzania. Wafilisti (Philistines) ni jamii nyingine kabisa ambayo iliishi katikati ya Gaza na Ashkelon. Jamii hii kwa kuwa ilikuwa Hila za kuwaangamiza Wana wa Israel, Mungu alimtumia mfalme Nebkadnezer kuwa chukua utumwani na Wengine kuwaua katika vipindi hivyo hivyo wana wa israel alipochukuliwa utumwani. Tofauti na wana wa israel ambao Mungu aliwarudisha katika nchi yao, Mungu alihakikisha Wafilisti hawarudi kwao na hivyo walipotelea huko huko utumwani Tafadhali soma Amos 1:8, Ezekiel 25:16,17 Jeremiah 47:4 and Isiah 14:29 kuhusu uangamizo wa Philistines.
Wapalestina wa sasa hivi kiukweli ni Waarabu. kuna clip nitakurushia hapa hata wenyewe baada ya kuona wenzao wanawaacha solemba kwenye hili sakata, Mpalestina huyo analamika kuwa Jamani sisi ni ndugu zenu na KAMA UTATUFUATILIA SISI WOTE TUNA ASILI YETU EGYPT, SAUDIA NA NCHI NYINGINE ZA KIARABU.
Land of Palestine neno hilo lilitumika kwa mara ya kwanza na mwandishi mgiriki akimaanisha ile nchi yote takatifu ambayo kwa wakati anatamka neno hilo nchi hiyo ilikuja mpaka huku Jordan. Warumi ( waroma) walipojenga himaya yao kwenye eneo la kusini mwa syria na eneo la Judea katika karne ya 6 CE wakaamua kuliita eneo hilo palestine. Kuhusu taifa la Palestine, hiyo ni hila ya Waislamu waarabu wakisaidiwa na KGB ya Urusi katika miaka ya 60 kuanzisha Taifa hilo na kuwabatiza Waarabu wa eneo hilo kuwa ni wapalestina ili wajenge uhalali wa kudai nchi yote ikiwa na maeneo wanayoishi wayahudi. Kiujumla nchi hiyo wala haijawahi kuwa ya Waarabu bali ilikuwa ya Wayahudi na Wafilisti
Luti na Ibrahim waliishi pamoja mpaka pale walipoanza kugombania maeneo ya malisho na ndipo Ibrahim alimuacha Luti katika bonde lote la Jordan na yeye Ibrahim akaelekea upande ambao ni kati ya mto Nile na mto Efrat.Waliokuwa wanaugomvi tangu kwenye tumbo la mama yao ni Esau na Yakobo baadaye huko mbele ya safari ndio kinakuja kuzaliwa kizazi cha nabii Rutu ndio kinatokea kizazi cha Waisrael na Palestina
Wapalestina
Sasa tumble wewe Wapelestina ni watu gani?Wapalestina siyo wafilisti
Palestinians are Semitic people mostly Arabs and Jewish converts.Sasa tumble wewe Wapelestina ni watu gani?
Kuna uhusiano kati ya Uyaudi, Ukristo na Uislamu, chimbuko la hizi dini ni moja japo kila upande unaamini uko sahihi kuliko upande mwingine. Kabla ya kuzaliwa Yesu kulikuwa hakuna ukristo na kabla ya kuzaliwa Mohamed kulikuwa hakuna Uislamu lakini Uyaudi ulikuwepo.Waisrael na Wapalestine wenyewe wanasemaje kuhusu huo mgogoro wao na sababu zake.
Maana wayahudi wenyewe hawaukubaki ukristo wala uislam lakini humu jukwaani sababu ya uhasama inanasibishwa na ukristo na uislam.
Wao humezesha vitu gani vizazi vyao? Huwapa sababu gani watoto wao za kupigana na kuwachukia wenzao
Aisee umenitoa tongotongo.Kuna uhusiano kati ya Uyaudi, Ukristo na Uislamu, chimbuko la hizi dini ni moja japo kila upande unaamini uko sahihi kuliko upande mwingine. Kabla ya kuzaliwa Yesu kulikuwa hakuna ukristo na kabla ya kuzaliwa Mohamed kulikuwa hakuna Uislamu lakini Uyaudi ulikuwepo.
Uyaudi ulichagizwa na ahadi za Mungu kwa Ibrahim na uliendelea hata pale Waisrael walipokuwa Misri hadi kurudi kwao Kaanan. Yesu alipozaliwa aliukuta Uyaudi, na Wayaudi wenyewe hawakumuamini hivyo walibaki na dini yao, japo hata Yesu mwenyewe alikuwa Myaudi kwa asili. Misingi inayojenga ukristo ni ileile iliyojenga uyaudi tofauti ni kwamba Uyaudi unaamini ktk Torati tu.
Uislamu ulikuja miaka zaidi 500 baada ya ukristo. Sitaki kuongelea sana maana wao ktk mafundisho yao wanadai hata Ibrahim mwenyewe alikuwa Muislam!!! Ninachojuwa ni kwamba Ibrahim baada ya kupata ahadi toka kwa Mungu alikuja kuzaa watoto wawili kwa mama tofauti. Mama wa kwanza Muyaudi Mwenzie alimzaa Isaka na mama wa pili kijakazi wa Kiarabu alimzaa Ishimael. Ni katika uzao huo zilikuja kutokea hizi dini. Yaani ktk uzao wa Isaka kulikuja kutokea Uyaudi na baadae Ukristo, na ktk uzao wa Ishimael kulikuja kutokea Uislamu.
Kisa cha ugomvi kati ya Waisrael na Wapalestina ni hadithi ndefu, ambayo kama ni kwa kufuatilia maandiko ya vitabu vya dini, ina chimbuko kuanzia kwa mama yake Ishimael na mama yake Isaka pamoja na watoto wao. Sababu utofautiana tu kulingana na kizazi lakini uhasama ni wa tangu jadi.