OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwenye mechi ya leo? Au kwenye mechi zijazo? Maana kama ni mechi ya leo, kwenye Sub hakuna hata mchezaji wa kikosi cha kwanzaWakomae hivi hivi bila kuongeza mchezaji wa hatatlri kutoka kikosi cha kwanza
Mkuu haya mashindano huwezi ukaweka wachezaji muhimu wakati una mashindano muhimu mbeleni kama CAFKumbe watu wapo mnatuletea hizi takataka
Ngoja nimtizame vizuri huyu okwa, muda mchache niliowahi kumuona nilikiri ni mchezaji mzuri, ila nashangaa akawa anakaa benchi.
Sasa leo nijue yamo ama hakuna kitu.
Mimi nataka kwenye hizi mechi ndogo ndogo kusiwepo na mchezaji muhimu hata mmoja ili mbivu na mbichi tuzioneKwenye mechi ya leo? Au kwenye mechi zijazo? Maana kama ni mechi ya leo, kwenye Sub hakuna hata mchezaji wa kikosi cha kwanza
Kwahiyo atolewe Okrah njeMi nataka kwenye hizi mechi ndogo ndogo kusiwepo na mchezaji muhimu hata mmoja ili mbivu na mbichi tuzione
Unatafuta nini hapa mama?Mlandege waleni na mikia leo...
Vaa miwani kaka.Hamna mchezaji apo
Nataka shuhudia Mlandege akiwala nanyinyi. Sisi ni marafiki wa Mlandege na mizoga yote...Unatafuta nini hapa mama?