Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo haliwezekanikiHapana, si suala la kufananishana, NI JAMBO LA UKIONA HUIEKEWI TIMU YAKO AU UKIFUNGWA UNAHAMA
Karibu kwa wananchi
Kupigwa ni kupigwa tuu muraa tena inauma mlikua na kikosi cha first eleven yenuKuweka kumbukumbu sawa; Mwaka jana Yanga ilitolewa kwenye nusu fainali na Azam! Yena kwa mikwaju ya penati 8 kwa 9.
Labda uongelee miaka ya hapo kati tulipokuwa tunapeleka kikosi cha U20.
Hana maajabu mpka sasa...uhistoria wa kombe moja tuu ndo nini sasaMabingwa wa kihistoria! Mabingwa watetezi! Mbabe wenu. Maana ushindi wenu kwa sasa, ni sare kila mtakapo kutana naye
Mlandege wamemla hadi koloHahahaa. Ndio ndio Swahiba.
Mlandege kafanya yake. Teh teh
Wachezaji gani kwa mfano mlitumia hiyo mechi kuwajaribu? Yaani wachezaji wapo kwenye kikosi chenu kwa misimu ya kutosha tu! Halafu unaleta story za kujaribu!!!Tumetumia kama nafasi ya kuwajaribu baadhi ya wachezaji kupima uwezo wao
Uliwaza hayo wakati unahamia MLASIMBA?Hilo haliwezekaniki
Kwenye mpira kufungwa ni kawaida, ukihama Simba kwasababu umefungwa, je huko utapo hamia napo utatarajia kuhama endapo utafungwa?
Noma sana Swahiba. 😅Mlandege wamemla hadi kolo
Haujambo K nasikia jana mmefungwa, ni kweli?Hana maajabu mpka sasa...uhistoria wa kombe moja tuu ndo nini sasa
Sijambo Eve...ila ni kikosi B cha mnyama 😆 😆Haujambo K nasikia jana mmefungwa, ni kweli?
Shemela, huyo Kalpana akikujibu naomba unitagHaujambo K nasikia jana mmefungwa, ni kweli?
Kumbe na nyie mnamkubali Chama mwamba wa Lusaka..na akiungana pale na Antibayotike maji mtaita mmaaaWachezaji gani kwa mfano mlitumia hiyo mechi kuwajaribu? Yaani wachezaji wapo kwenye kikosi chenu kwa misimu ya kutosha tu! Halafu unaleta story za kujaribu!!!
Sema timu yenu haina kikosk kipana, utaeleweka. No Chama, no goal! No assist.
We Kalpana, huyu Evelyn Salt wala hajauliza ni kikosi gani wala kama ni Simba Queens ndo walicheza. Jibu swali banaaSijambo Eve...ila ni kikosi B cha mnyama 😆 😆
Nimemjibu kwa uzuri zaidi asije sema kikosi kilikua na kina Chama na kina Boco au kina anibayotiki...nimemwambie kile kilikua kikosi kilichojaa watu wa Sub 😆 😆 😆 😆 😆 😆We Kalpana, huyu Evelyn Salt wala hajauliza ni kikosi gani wala kama ni Simba Queens ndo walicheza. Jibu swali banaa
Mbona maelezo mengi lakini 😂😂😂😂Sijambo Eve...ila ni kikosi B cha mnyama 😆 😆