Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Pasco ni Copy and Paste Expert Journalist of the year
Mkuu Kahawarizim, Aliamududilahi, kazi ni kazi, bora mkono uende kinywani!, kazi hii hii ya copy and paste, imenivusha
Mtaa kwa mtaa,
Kata kwa kata,
Tarafa kwa tarafa,
Kitongoji kwa kitongoji,
Kijiji kwa kijiji,
Wilaya kwa wilaya,
Mkoa kwa mkoa,
Mji kwa mji,
Jiji kwa jiji,
Bara kwa visiwani,
Nchi kwa nchi,
Taifa kwa taifa,
Jumuiya kwa jumuiya,
Bara kwa bara,
Ulimwengu kwa ulimwengu,
Universe kwa universe,
Galaxy kwa galaxy,

bado kufika mwezini tuu na labda juani!.

Copy 'n' paste nayo kazi ati!.
Alihamududilahi!

Ahasanta.

Pasco.
 

Teh teh teh
 
watumwa waliochukuliwa huku na kwingineko Afrika kisha kupelekwa Uarabuni waliishia kunyongwa, wanaume walihasiwa ndio maaana huwezi kuwaona kwa wingi kama waliopelekwa Amerika na Kwenye visiwa vya carribean,chezea mwarabu!

Tuletee reference na ushahidi anagalau wa maandiko yaliyo thibitiswa, na kama unayo nitakuwa mmoja wapo kukuunga mkono.
 
Tuletee reference na ushahidi anagalau wa maandiko yaliyo thibitiswa, na kama unayo nitakuwa mmoja wapo kukuunga mkono.

Kasome hii link, [h=3]Terrible stories abound of the treatment of slaves by Arabs[/h]

Watumwa wanaume wote waliopelekwa India na Arabuni, walihasiwa!. Watumwa wa kike, walitumiuka kama wajakazi na walibakwa!. Wakishika mimba, waliuliwa!. Baadhi ya wachache walitokea kupendwa kufuatia uwezo mkubwa wa "kukolea" kwa wanawake ngozi nyeusi kuliko wanawake wa Kiarabu!, na mpaka leo, na mpaka kesho, ukipima "mkolezo" wa ngozi nyeusi na ngozi nyeupe, utakubaliana na mimi kuwa hata watawala wa "lile" soko la "ile biashara" kule Zanzibar, imetawaliwa na ngozi nyeusi!. Soko la "ile biashara" Dubai, Doha, Muscut na Oman, limetawaliwa na ngozi nyeusi!, sasa nasikia hata soko la "ile biashara" China, limetawaliwa na ngozi nyeusi!, ndio maana kila kukicha dada zetu ni safari za huko, wakoindoka na japo nauli tuu!, na kurudi na bidhaa lukuki!.

Watumwa wakike "waliokolea" walifanywa hivi

Watumwa wanaume licha ya wote kuhasiwa, kila aliyefanya kosa, alipigwa hadharani mpaka kuuwawa!. Wanawake wao walibakwa mpaka kifo!, na walikuwa hawazikwi bali kufukiwa kama mizoga!. Wakati wa safari, waliachwa wajifie au kuliwa na wanyama wakali kama hivi




Tafuta kitabu cha usime jinsi Waarabu walivyowafanya Watumwa!, mwandishi amesema "Arabs are the most inhumane race ever existed in this earth!. Look at what they did to slaves
Nimeshindwa kuendelea zaidi kwa machungu ya utumwa waliowafanyia mababu zetu, wadhalimu hawa!, na baada ya Mapinduzi Matukufu, I'm sorry to say, hivi ndivyo walivyofanzwa!.

Mimi Pasco wa jf, kama binadamu, nakiri kabisa umwagaji damu wowote kwa sababu yoyote ile haukubaliki!, there is in no justification of shedding a sighle drop of blood ndio maana hata alipouliwa Saadam Husein, Muamar Gadafi na Osama Bin Laden, mimi ni miongoni mwa tulio mlilia humu!.
Pasco.
 

Wacha unafiki mkuu! Hii statement yako ya mwisho unajisaliti mwenyewe!
We si unaamini kuwa yesu kamwaga damu kwa ajili ya dhambi zako?

Sasa usemapo "there is NO justification of shedding a SINGLE DROP OF BLOOD! are you telling Jesus that He was not As good as Pasco!?

Kila siku mnakunywa hayo ma divai kukumbuka damu ya bwana! Au sio??
Sasa biblia inatoa amri hio. We unataka kusema kule kujitoa muhanga kwa yesu wako ni USHETANI NA UOVU AU??

Usiwe unaropoka tu! Wazee wako na familia yako ikiona haya maneno yako wanaweza kukutenga Vibaya!
Au KISUKUMA TUNAITA "KUTULIJAGA" Yaani hata ukifa hawakuziki!

Halafu nilikwambia UTUMWA UMEANZA KABLA YA WAARABU more than 2000 yrs! Back!

Na ushahidi ni kwenye BIBLIA!

AU unataka tena ushahidi!??
 
Last edited by a moderator:
Okello created a Revolutionary Council and named the leader of the Afro-Shirazi Party, Abeid Karume, as president and leader of the (Arabic) Umma-(Massa) Party, sheik Abdulrahman Muhammad Babu as prime minister (later: vice-president). Both Karume and Babu had not been informed of the coup. Both residing in Tanganyika, but returned to Zanzibar, where they were welcomed by Okello. However, neither Karume nor Babu wanted anything to do with him. Afterward, Okello appeared to be too unstable to play any role in government of the new country and was quietly sidelined from the political scene by Karume, who allowed him to retain his title of Field Marshal.[SUP][2][/SUP][SUP][3][/SUP]

By 3 February Zanzibar was finally returning to normality and Karume had been accepted, almost unquestionably, as its president.[SUP][4][/SUP] Okello formed a paramilitary unit, known as the Freedom Military Force (FMF), from his own supporters which is known to have patrolled the streets and become involved with looting.[SUP][5][/SUP][SUP][6][/SUP] In addition Okello's violent rhetoric, his thick and dialectic English pronunciations and Acholi tribal English accent- typical of Acholi from Northern Uganda, and his Christian beliefs alienated many in the largely moderate, Zanzibari and Muslim ASP.[SUP][7][/SUP] By March many of his FMF had been disarmed by Karume's supporters and an Umma Party militia.[SUP][6][/SUP][SUP][7][/SUP] Okello was denied access to the country when he tried to return from a trip to the mainland and deported to Tanganyika and then to Kenya before returning, destitute, to his native Uganda.[SUP][7][/SUP] He was officially removed from his post as Field Marshal on 11 March.[SUP][8][/SUP]

The People's Liberation Army (PLA) was formed by the government in April and completed the disarmament of Okello's remaining FMF troops.[SUP][7][/SUP] On 26 April Karume announced that he had negotiated to enter into a union with Tanganyika to form the new country of Tanzania.[SUP][9][/SUP] Karume's reason for doing so may have been to prevent the radicals in the Umma Party from taking over the country or to reduce the possibility of increasing communist influence in East Africa.[SUP][9][/SUP][SUP][10][/SUP] Despite this, many of the Umma Party's socialist policies on health, education and social welfare were adopted by the government.[SUP][11][/SUP]
 
Wewe toka huu mjadala uanze umejadili nini cha maana zaidi ya kufanya upambe nuksi wa kiswahili...eti tuendelee kujadiliana,,utachangia nini hapa zaidi ya ushabiki wa kwenye bao na karata.

Na wewe ulichochangia hapa ni kipi?? matumbo makuuubwa akili kama tembo!

Kkkkkkkkkkk!
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,
na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.

Pasco.
Na baada ya kuondoka wenyewe!, kufuatia kufurushwa na Mapinduzi yale Matukufu, kweli leo baada ya miaka 50, unaweza kuwakabidhi watu wale wale kwa makaratasi?!. Hili ni swali tuu!.
Kuna watu wanamdhania ni Jecha na hivyo kumlaumu Jecha, kumbe masikini wa watu Jecha, yeye ni mtu wa kutumwa tuu!, wenyewe wenye nchi yao, waliishaamua kuwa Zanzibar ni nchi ya kimapinduzi, na ni Mapinduzi Daima!.

Pasco
 
............
 
Leo tunasherehekea tena ile kumbukumbu nzuri ya sherehe ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!. Njuavyo mimi mapinduzi yale yaliandamana na umwagaji damu mkubwa, hakuna mtu yoyote mwenye akili timamu anayeweza kusherehekea umagwaji damu wowote kwa sababu yoyote iwayo ile, hivyo kinachosherehekewa leo, sio ile umwagaji damu wa mapinduzi yale, bali matokeo ya mapinduzi yale!. Na aliyeyaita ni Mapinduzi Matukufu, sio mimi Pasco wa jf, bali hivyo ndivyo tulivyofundishwa kuwa Mapinduzi ya Zanzibar ya Mwaka 1964, ni Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.

Hongeeni sana wenzetu Wazanzibari kwa kusherehekea miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.

Zanzibar ni nchi ya kimapinduzi, na siku zote ni Mapinduzi Daima!.

Pasco
 
Halafu nilikwambia UTUMWA UMEANZA KABLA YA WAARABU more than 2000 yrs! Back!

Na ushahidi ni kwenye BIBLIA!

AU unataka tena ushahidi!??
Nakutumia salamu za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.

Pasco
 
Acha maneno ya chuki biashara yaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…