Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Umeandika nini na wafasiri nini au wadhani nina muda wa kupoteza nawe humu?

Nakukumbusha na ufahamu uzuri,
Kila ukiandikato hapa husomwa na wangi sana zaidi ya mno katika Limwengu,

Na lengo langu nilidhani wayua ukifanzacho hapa...! Kumbe uishaangukia pua kitambo.


Nikikuita mpuuzi huenda itakuwa kosa maana bado mapema, ila nakuita MJINGA,

Ulitokiandika na ujaribucho fasiri ni zitu viwili tofauti kabisa kabisa, pamoya na hayo nimeshindwa elewa hizo namba zawakilisha temp ama kitu gani....!!!!?

Kama ni kukufananishia basi ni mithli ya Mashrik na Maghrib,

Hutotokea weye hata kwa bahati mbaya kufasiri ati nawe ukapass la....!

Badali yake kila uzidiapo kuitunguza QUR AAN TUKUFU kwa misingiyo potokwa, ndo upotovu wako pia huzidia.

Huna challenge utaeza leta weye ukasalimika, kwanda kwa Ilimu gani uloiba ikaibika na kupokeleka ikakusaidia japo pekeako...?!

Mbaya zaidi viwango vya uelewa vyakupa tabu sana kiasi hata Mwalimu akushindwa, wepi akuanze!

Maana huna uyualo lakini mikelele tu na midole yako yakuwasha nawe uonekane umo katika waliyomo.

Shida sana weye na khasara kubwa imekushika.

Sioni haja ya kuilimishana na weye ilhalaal sifazo kati ya hizo mbili hapo yuu sijafahamu ipi yakustahikia.

You can call whatever name you feel is okay with you, but that wont change the impeccable truth. You guys are hell-bound as fully exhibited in the diabolical Koran.

You are not the first braggadocios who is spewing despicable atrocities for the sake of your breathless demigoddess.

KWA LIPI AMBALO LINAWEZA KUTUFANYA TUMWAMINI MUHAMAAD(SAW)?

Kasema Mtume (s.a.w) "Hakika Mimi natania, wala sisemi yaliyokweli" (Mkweli Mwaminifu Juzuu ya 3-4, uk. 56 Hadithi Na. 853)
 
Kwa kukusaidia tuu, TBC nimeondoshwa 2002, Tido kaja pale 2007!. Kwa sasa mimi ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea!. Ukiniona TBC, usidhani mimi ni muajiriwa TBC, ukipata nafasi leo saa 3:00 unaweza kuniangalia TBC, ukikosa kesho saa 1:00 usiku waweza niona ITV, Jumatano Channel Ten, Alhamisi Clouds TV, Ijumaa ZBC, Jumamosi na Jumapili saa 3:00 usiku Star TV!.
Ahasanta.
Pasco.
Pasco,
Kwanini uliondoshwa TBC? Au sababu ya kazi yako ya copy and paste? Maana naona umeichukua post ya Ritz umei paste kufanya update kwenye uzi wako😀😀😀 Teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
You can call whatever name you feel is okay with you, but that wont change the impeccable truth. You guys are hell-bound as fully exhibited in the diabolical Koran.

You are not the first braggadocios who is spewing despicable atrocities for the sake of your breathless demigoddess.

KWA LIPI AMBALO LINAWEZA KUTUFANYA TUMWAMINI MUHAMAAD(SAW)?

Kasema Mtume (s.a.w) "Hakika Mimi natania, wala sisemi yaliyokweli" (Mkweli Mwaminifu Juzuu ya 3-4, uk. 56 Hadithi Na. 853)


Huna jipya......!
 
Pasco,
Kwanini uliondoshwa TBC? Au sababu ya kazi yako ya copy and paste? Maana naona umeichukua post ya Ritz umei paste kufanya update kwenye uzi wako😀😀😀 Teh teh teh.
Mkuu Khawarizm

Wale ambao anaowatuka kulikoni tena anachukuwa mabandiko yao kuuzia sura wakati kina mzee sukari wapo.


Majanga.
 
Last edited by a moderator:
HEBU tujuze kidogo! Manake we mtu wa baliadi unaonekana kuyafahamu mapinduzi kuliko wazanzibari wenyewe Kuwa chuo kikuu sio kusoma mojawapo ya shahada zilotelewazo hapo.
Ninataka kusema kuishi Zanzibar sio kufahamu Historia yake pasipo kusoma. Anayeweza kuijua ni yule anayefanya utafiti wa kina sio kukaa tu
 
Pasco,
Kwanini uliondoshwa TBC? Au sababu ya kazi yako ya copy and paste? Maana naona umeichukua post ya Ritz umei paste kufanya update kwenye uzi wako😀😀😀 Teh teh teh.
Nilifukuzwa kazi kwa kosa la kuwa mkweli daima!. Ukiwa mkweli sana ni tatizo, na hili nilimueleza hata rafiki yangu Zitto, kinachomponza ni kuwa mkweli daima!. Naomba nisiende kwenye details zaidi, ila hata hizi doze ninazomwaga humu, ni ukweli mtupu!.
Pasco.
 
Umeandika nini na wafasiri nini au wadhani nina muda wa kupoteza nawe humu?

Nakukumbusha na ufahamu uzuri,
Kila ukiandikato hapa husomwa na wangi sana zaidi ya mno katika Limwengu,

Na lengo langu nilidhani wayua ukifanzacho hapa...! Kumbe uishaangukia pua kitambo.


Nikikuita mpuuzi huenda itakuwa kosa maana bado mapema, ila nakuita MJINGA,

Ulitokiandika na ujaribucho fasiri ni zitu viwili tofauti kabisa kabisa, pamoya na hayo nimeshindwa elewa hizo namba zawakilisha temp ama kitu gani....!!!!?

Kama ni kukufananishia basi ni mithli ya Mashrik na Maghrib,

Hutotokea weye hata kwa bahati mbaya kufasiri ati nawe ukapass la....!

Badali yake kila uzidiapo kuitunguza QUR AAN TUKUFU kwa misingiyo potokwa, ndo upotovu wako pia huzidia.

Huna challenge utaeza leta weye ukasalimika, kwanda kwa Ilimu gani uloiba ikaibika na kupokeleka ikakusaidia japo pekeako...?!

Mbaya zaidi viwango vya uelewa vyakupa tabu sana kiasi hata Mwalimu akushindwa, wepi akuanze!

Maana huna uyualo lakini mikelele tu na midole yako yakuwasha nawe uonekane umo katika waliyomo.

Shida sana weye na khasara kubwa imekushika.

Sioni haja ya kuilimishana na weye ilhalaal sifazo kati ya hizo mbili hapo yuu sijafahamu ipi yakustahikia.
Naanza kuona dalili ya muuza utumbo, maana mainzi yanaanza kutangulia!.
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.


Matatizo yako wewe UMESHATUONYESHA HAPA! Elimu yako ni ya PRIMARY!! Sasa hata kujadili na wewe kuhusu hii Historia NI KUPOTEZA WAKATI TU!

Nikikuuliza je! unafahamu KITU GANI WAFARANSA WALIKIFANYA WAKATI WAMEANZISHA MASHAMBA YA MIWA NA BUNI{KAHAWA} KULE MAURITANIA! Huwezi kunipa jibu, mana yake ELIMU HII PRIMARY HAKUNA!
Khawarizm anakupa elimu KUBWA MNO KULIKO UWEZO WAKO! Matokeo yake Unamuona ADUI!

teh teh teh teh! Hizi elimu za KATA ni kaaz kweli kweli!
 
Last edited by a moderator:
Hivi wale watumwa wengi waliochukuliwa uarabuni waliishia wepi.ningefurahi kuona ndugu wetu hao kama ilivyo kwa waliotoka afrika magharibi wanavyoonekana marekani
watumwa waliochukuliwa huku na kwingineko Afrika kisha kupelekwa Uarabuni waliishia kunyongwa, wanaume walihasiwa ndio maaana huwezi kuwaona kwa wingi kama waliopelekwa Amerika na Kwenye visiwa vya carribean,chezea mwarabu!
 
Nilifukuzwa kazi kwa kosa la kuwa mkweli daima!. Ukiwa mkweli sana ni tatizo, na hili nilimueleza hata rafiki yangu Zitto, kinachomponza ni kuwa mkweli daima!. Naomba nisiende kwenye details zaidi, ila hata hizi doze ninazomwaga humu, ni ukweli mtupu!.
Pasco.


kwa hivyo baada ya kuona UKWELI NI TATIZO Umeamua kusema UONGO SIO??
Manake kila ukianzisha uzi hapa, unajaza UONGO MTUPU!! We hujui kuwa Yesu kakataza UONGO!:angry::angry:
 
kwa hivyo baada ya kuona UKWELI NI TATIZO Umeamua kusema UONGO SIO??
Manake kila ukianzisha uzi hapa, unajaza UONGO MTUPU!! We hujui kuwa Yesu kakataza UONGO!:angry::angry:
Kwenye kusanyiko la waovu, msema kweli ndie adui!, ninachokisema mimi ndio ukweli wenyewe!, ila kwa vile, wengi mmeaminishwa kwenye upotofu na ubatili, then ukweli wangu ndio unaudhania ni uongo!.
Uzuri wa ukweli, una sifa moja kubwa!, ukweli husimama mpaka mwisho, nikimaanisha mambo yoite yatapita lakini kweli ndio itasimama mpaka mwisho!.

Pasco.
 
Katika Vyama vyote najua vinaweza kufanya mageuzi ila sema hawana wanasiasa real ila waganga njaa .Chadema nahdani wamesha fanya mabadiliko maana alikuwa Mtei akaja Mbowe na alikuwa Kabourou akaja Slaa .Sidhani kama kuna la kusema kwa Chadema .Shida ya vyama vtetu vya Siasa chama ni mtu na ni instituation ndiyo shida na hapa ndipo CCM wanapo fanikiwa .NCCR they did well .Alikuwa Marando akaja Mbatia na baadaya Mrema na sasa naamini NCCR wana Katibu mkuu mpya .Upinzani wakifanikiwa kuwaondoa Mrema na TLP yale na CUF kukubali mabadiliko patakuwa na mwelekeo zaidi .

Ila sikubaliani na hoja yako kwamba kwa kuwa CCM wamefanya mabadilijo basi na Vyama vyingine vifuate hapana .Nakubali hoja ya uongozi wa kweli kwamba Chama kikishindwa ama kuingia kashfa basi kiongozi aliyehusika ajiuzuri kutoa nafasi hili ndilo naomba ambalo si hata Serikali ya CCM inaliweza .

Ikianzia ile ya wizi wa bandiko za waerevu,

Pana shida gani mtu kutokubali kuwa mambo yasitambui, ila kwa kupitia humu napata rizki yangu?!

Lakini akitokea mtu kukustaajabu kwa kuiba bandiko za zijana wa Madaaris, hoyo mie ndo ntamsangaa, maana yana tu ndo nilieleza kuwa
"(SI MUDA HUENDA UKAWA WAKUSANYA HIZI NONDO UPAWAZO HUMU NA KUUNGAUNGA ILI ATI NAWE BAADAYE UWAJUVYE WATU UMEANDIKA HISTORIA YA YANZANIA / ZANZIBAR)",

Leo yametimu, kabla hujapindukwa na siku...! Aaah kweli weye na wa kulishwa mazima mazima mithili ya "KASUKU", Pasco

Teeh teeh teeh.....
 
Last edited by a moderator:
Kwenye kusanyiko la waovu, msema kweli ndie adui!, ninachokisema mimi ndio ukweli wenyewe!, ila kwa vile, wengi mmeaminishwa kwenye upotofu na ubatili, then ukweli wangu ndio unaudhania ni uongo!.
Uzuri wa ukweli, una sifa moja kubwa!, ukweli husimama mpaka mwisho, nikimaanisha mambo yoite yatapita lakini kweli ndio itasimama mpaka mwisho!.

Pasco.
Mkuu Pasco

"Uongo, kama vile nyasi juu ya maji huelea, Atafutae lulu hana budi kupiga mbizi." John Dryden
 
Last edited by a moderator:
siku zote rangi na kabila zinafuata baba, nashangaa hapa kwa waarabu ndio baadhi ya watu mnaanza kuleta utata. Ndio maana watu wanapata kigugumizi kujibu kama huyo sultani qaboos na waomani ni waafrika au la! African is a race just like an Arab, caucasian (mzungu), Asian etc. Kuna ugumu gani kutambua?

Umejibu kama layman afadhali ungebaki kushangaa pasipo kueleza maana ya uafrika. Umeleta suala jingine la "races" ambalo ni somo tofauti. Hata hivyo, wazo la kuwa kuna dhana au wazo la kuwa na "races" mara nyingi hutumika katika kuwabagua tu binadamu na hutumia kirahisirahisi bila tafaukuri ya kina. Hii ndiyo kusema kuwa, kati ya jamii ya binadamu, suala la "races" halina maana zaidi ya kuwajenga watu dhana ya "kibaguzi". Ieleweke kwamba binadamu wote wanaoishi ni jamii ya "homo-sapiens". Dhana ya "racism" ndiyo pia hupelekea kundi la jamii ya binadamu kujiona ni bora kuliko wengine. Tafakari mfano dhana ya mimi Mhutu na wewe mtutsi ilivyoleta maangamizi. Haya yote ni matokeo yatokanayo na dhana ya "races". Hii dhana haijumuishi tu rangi ya ngozi bali ni tu vingi, vinasaba, lugha, mipaka ya kijografia, nk. Turudi kwenye swali, uafrika ni nini na kuwa mwafrika maana yake nini?
 
siku zote rangi na kabila zinafuata baba, nashangaa hapa kwa waarabu ndio baadhi ya watu mnaanza kuleta utata. Ndio maana watu wanapata kigugumizi kujibu kama huyo sultani qaboos na waomani ni waafrika au la! African is a race just like an Arab, caucasian (mzungu), Asian etc. Kuna ugumu gani kutambua?

Umejibu kama layman afadhali ungebaki kushangaa pasipo kueleza maana ya uafrika. Umeleta suala jingine la "races" ambalo ni somo tofauti. Hata hivyo, wazo la kuwa kuna dhana au wazo la kuwa na "races" mara nyingi hutumika katika kuwabagua tu binadamu na hutumia kirahisirahisi bila tafaukuri ya kina. Hii ndiyo kusema kuwa, kati ya jamii ya binadamu, suala la "races" halina maana zaidi ya kuwajenga watu dhana ya "kibaguzi". Ieleweke kwamba binadamu wote wanaoishi ni jamii ya "homo-sapiens". Dhana ya "racism" ndiyo pia hupelekea kundi la jamii ya binadamu kujiona ni bora kuliko wengine. Tafakari mfano dhana ya mimi Mhutu na wewe mtutsi ilivyoleta maangamizi. Haya yote ni matokeo yatokanayo na dhana ya "races". Hii dhana haijumuishi tu rangi ya ngozi bali ni tu vingi, vinasaba, lugha, mipaka ya kijografia, nk. Turudi kwenye swali, uafrika ni nini na kuwa mwafrika maana yake nini?
 
Eti hawa ndio waandishi wa habari wa bongo.Ndio maana hii taaluma ina dharaulika. Pasco bora urudi kwenye kazi yako ya upambe kwa Lowasa kuliko kudharaulisha kazi ya uandishi.
 
Back
Top Bottom