Mapinduzi ya Kijeshi Mali: Rais Ibrahim Boubacar Keita na Waziri Mkuu Boubou Cisse watiwa nguvuni na Vikosi vya Jeshi

Mapinduzi ya Kijeshi Mali: Rais Ibrahim Boubacar Keita na Waziri Mkuu Boubou Cisse watiwa nguvuni na Vikosi vya Jeshi

Jeshi la Mali lamkamata Rais na waziri mkuu wa nchi hiyo

Dakika 15 zilizopita

[https://ichef]

Msemaji wa serikali ya Mali ameiambia BBC kwamba Rais wa nchi hiyo pamoja na waziri mkuu wamekamatwa na jeshi. Nchi hiyo imekua katika maandamano ya miezi kadhaa sasa, huku raia wakimtaka Rais Ibrahim Boubakar Keita kuachia madaraka kutokana na kuongezeka kwa mauaji kutoka makundi ya kiislam na mdororo mkubwa wa uchumi.

Habari zaidi zitaendelea kukujia.
 
BAMAKO, Mali (AP) — Mutinous soldiers detained Mali’s president and prime minister Tuesday after surrounding a residence and firing into the air in an apparent coup attempt after several months of demonstrations calling for President Ibrahim Boubacar Keita’s ouster.

The soldiers moved freely through the streets of Bamako, making it increasingly clear that they were in control of the capital city. There was no immediate comment from the soldiers, who hail from the very same military barracks in Kati where an earlier coup originated more than eight years ago.

A regional official, who spoke on condition of anonymity as they were not authorized to speak to journalists, confirmed that the president and prime minister had been detained Tuesday evening.

The dramatic escalation capped off a day of political chaos in Mali, where the U.N. and former colonizer France have spent more than seven years trying to stabilize the country since the 2012 coup allowed an Islamic insurgency to take hold in the West African nation.

The unrest had kicked off in the garrison town of Kati, where mutinous soldiers took weapons from the armory at the barracks, and then detained senior military officers. Anti-government protesters cheered the soldiers’ actions, some even setting fire to a building that belongs to Mali’s justice minister in the capital.

Prime Minister Boubou Cisse, had urged the soldiers to put down their arms.

“There is no problem whose solution cannot be found through dialogue,” he said in a communique.

Earlier in the day, government workers fled their offices as armed men began detaining officials including the country’s finance minister Abdoulaye Daffe.
 
Hali haieleweki. Wanajeshi hawajatangaza bado nani yupo in control.

Rais na Waziri Mkuu wameshikiliwa.

Taarifa ya habari ya BBC World Service ya sasa hivi.
 
PICHA: Kanali Malick Diaw ambaye ni kiongozi wa Jeshi linaloongoza mapinduzi nchini Mali.

1597783158937.png
 
Back
Top Bottom