Mapinduzi ya Zanzibar Januari 1964 yalikuwa ni ushindi na neema kubwa kwa Emirate of Dubai

Sitaki kusema. Lolote, sona tafiti ya kisomi nimekuwekea link juu jidogo hapo.

Kama. Hukendi kusoma ingia youtube tafuta ", kwaheri uhuru kwaheri ukoloni" utakikuta kimeongelewa sana hicho kitabu.

Nakushauri pendelea kujisomea.
Kuandika kitabu au upload video u tube sio ndio solution ya jambo kuwa la kweli au la uongo... Hata mimi naweza ku upload video u tube,kuanza kuisema zanzibar au kuandika kitabu kinachoipond uislam, lakin naweza nikawa muongo na kupotosha
 
Sitaki kusema. Lolote, sona tafiti ya kisomi nimekuwekea link juu jidogo hapo.

Kama. Hukendi kusoma ingia youtube tafuta ", kwaheri uhuru kwaheri ukoloni" utakikuta kimeongelewa sana hicho kitabu.

Nakushauri pendelea kujisomea.
Wewe inabid utuambie mapinduz ya zanzibar yalifanywa na wakina nani na ilikuwa dini ipi
 
Una undugu na Mzee Mohamed Said ?
 
Safi. Nimeuliza kwasababu wote mna udini.
Kwa "udini" kama unamaanisha Uislam, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu , sana tena sana.


. Wewe kama huna dini, mimi nakushauiri uwe Muislam. Unafahamu maana ya neno Muuslam?
 
Kama muislam nduguye ni muislam, kwann serikali ya mapinduzi ya zanzbar ilikuwa inawanyanyasa waislam wenzao, mpka wakakimbilia bara na dubai..
Kasome kitabu nilichokuwekea link hapo juu kidogo, utapata majibu. Usiwe mvivu wa kujisomea.
 
Kasome kitabu nilichokuwekea link hapo juu kidogo, utapata majibu. Usiwe mvivu wa kujisomea.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]... Haya bana madam.... Umeogopa maswali yangu...
 
Kufuatia mlolongo na mfululizo wa Nyuzi za mkataba kati ya Tanzania na Dubai, na mada hii;na zile zingine za FaizaF alizozileta utaona kuna Ukinzani na utaona pia sababu nyingi halali za kuhoji makusudio,matamanio au azma kuu ya makubaliano yaliyoingizwa, kati ya Tanzania na Dubai mbali na yale ya Kiuchumi!

Uzi huu au mada iliyopo juu hauondoi au kubadilisha mashaka na wasiwasi unaozunguka Mkataba huo, wala kufuta migawanyiko inayotambulika na inayohusiana na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.....bali kusimika sintofahamu zilizoibuliwa, zilizopo na zinazoibuliwa.

Tuwe makini, kumbe wengine wanaweza kimbilia Oman, Dubai na kwingineko!
 
Kwa "udini" kama unamaanisha Uislam, mimi ni Muislam na najivunia Uislam wangu , sana tena sana.


. Wewe kama huna dini, mimi nakushauiri uwe Muislam. Unafahamu maana ya neno Muuslam?
Wewe bibi usilete ujanja wa mbuzi kujambia mdomo.
 
Kuandika kitabu au upload video u tube sio ndio solution ya jambo kuwa la kweli au la uongo... Hata mimi naweza ku upload video u tube,kuanza kuisema zanzibar au kuandika kitabu kinachoipond uislam, lakin naweza nikawa muongo na kupotosha
Speech,
Katika vitabu vyote vya historia ya Zanzibar kitabu hiki kimeeleza mengi ambayo vitabu vilivyotangulia havikuandika.

Katika hayo ni mpango wa kupindua serikali ya Zanzibar kwa kuwatumia Wamakonde kutoka Kipumbwi.

Waliohusika na kambi ya Kipumbwi wameeleza kila kitu ndani ya kitabu hicho.
 
Sawa mzee wangu nimekuelewa...
 
Syll...
Baada ya nchi mbalimbali za Kiafrika kupata Uhuru Mwarabu yupi aliweza kuyaingilia mambo ya ndani ya nchi za Kiafrika kama Mabeberu wanavyofanya?

Sijawahi kuziona ghadhabu hizi za DPH kuonyeshwa mtawala wa Kiengereza au mbabe wa sasa wa Dunia Marekani.
 
Walitoka Oman, wakavamia Zanzibar, wakapinduliwa na Wazanzibar wakarudi Oman walipotokea.
Kuna swali hapo?
 
Sawa mzee wangu nimekuelewa...
Syll...
Hiyo picha hapo chini ni ya Mohamed Omari Mkwawa mwanamapinduzi wa ASP.

Mkwawa yeye ndiye alikuwa akiwavusha Wamakonde kutoka Kipumbwi wamevaa kama wavuvi na wakifika Zanzibar wanahifadhiwa tayari wakisubiri siku ifike.

Hawa Wamakonde ndiyo waliua Waarabu wengi sana mashamba.

Picha hii nimempiga ndani ya kwake katika siku zake za mwisho za maisha yake.
Hii si nyumba bali ni banda la kuku.

Alinisikitikia hali yake akasema, ''Mohamed bbada ya mimi kufanya yote yale katika mapinduzi ya Zanzibar leo mimi naishi ndani ya banda la kuku nililosaidiwa na ndugu zangu.''

Haukupita muda mrefu Mzee Mkwawa akafariki.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…