Mapinduzi ya Zanzibar Januari 1964 yalikuwa ni ushindi na neema kubwa kwa Emirate of Dubai

Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 
Unamaanisha wapemba(shombe shombe wale) sindio
 
[emoji2][emoji2][emoji2].. ila toka zaman zanzbar inaziadi ya aslimia 90 ni wa islam, inakuaje waweze kunyanyapaliwa na asilimia ndogo sana ambao sio waislam....
Huyo anaitwa Faiza Fix.
 
Fatuma nimekuelewa
 
Usipindishe maneno,sema tu walikuwa wanaukimbia mkono wa karume bas.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Daah kumbe ndio huyu mzee, na wenzake akina j.j Mchingama, akina Victor mkello daah.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji2].. ila toka zaman zanzbar inaziadi ya aslimia 90 ni wa islam, inakuaje waweze kunyanyapaliwa na asilimia ndogo sana ambao sio waislam....
Iko hivi, baada ya mapinduzi karume alikalia kiti cha urais visiwani had muungano unafanyika bado karume ni rais visiwani.

Sas kulikuwa na kundi la wasomi pale Zanzibar ambao baadhi walitoka na karume ktk harakat zote za mapinduzi na wengine waliingia baadae.

Karume hakusoma na ile afro Shiraz youth league ilijaa vijana ambao hawakusoma watu kama kaujore n.k

Hvo mzee wa bara akatumia nafasi hyo kumshawishi karume awaondoe wasomi Zanzibar, akimwambia "wewe hukusoma hvi unadhani hawa watakubari kuongozwa na mtu aambae hajasoma? Lzm watakupindua."

Wasomi wakaanza kupotezwa watu km akina habibu Hanga, salehe Sadalla akida, twala, mdungi usi n.k. hao baadhi ila wengi sn walipotezwa, akina othman sharif.

Karume hakuchukia wasomi pekee yake,yeye mtu yeyote aliekuw anampinga alimpeleka jongomeo, hvo watu wengi sana waliikimbia Zanzibar kwa 7bu hzo, waislamu wanaihama Zanzibar kwa sababu ya kumkimbia muislamu anayeongozwa na mroma huku bara.

Hvo kunyanyapaliwa kwa asilimia kubwa ya waislamu kulikuwa kunaletwa na asilimia kubwa (sio ndgo km ulivosema) ya wasio waislamu kutoka bara.

Hapo ushajibiwa lbd uwe na kichwa kigumu tu kuelewa.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…