Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

Mh! Sasa mjadala hapa ni mapinduzi au dini? Sijaelewa.
 
mada kama hizi huanzishwa na watu wajinga wenye udini ndani yake.
 
sio muda ngumi zitapigwa kupitia keyboard na monitor[MENTION]Mohamed Said[/MENTION]
 
Kwahiyo bila mkristo mpaka leo Zanzibar ingekuwa chini ya utawala wa Sultan wa kiarabu duh kweli wazanzibar wanatakiwa kutambua mchango wa General John Okello.Historia ya Zanzibar bila Okello ni uzushi mtupu.
 
Huyu kufungwa kwake ni sababu za kiusalama tu. Yaan alikuwa akiwa katika nchi yako basi raisi anapoteza amani kwani at any time chochote chaweza tokea. Yaan alikuwa specialist wa mapinduzi. Labda tusema alikuwa Guevara wa Africa

Interesting hii kitu
 
Last edited by a moderator:
Ni askari wa kukodiwa.
Alifanya kazi alo tumwa na ujira wake kalipwa akaondoka.
Hawezi kuwekwa kwenye history.
Alitumwa na kupewa msaada kwa niaba ya kanisa na nyerere akafanya mauaji mpaka akashiba.
Siku moja ulikua mkutano wa hadhara akihutubia Okkelo ilikua mwezi wa Ramadhani na watu wamefunga basi mkutano ule ulivuka mpaka wakati wa kufuturu na wakati ule lazima uende kwenye mikutano yao wavamizi.
Basi mtu mmoja mzee pembeni akawa analalamika kwa kumwambia mwenzie hawa hawajali kuwa sisi tumefunga hata kupika futari bado na time kufuturu tayari basi hawana huruma hawa? Pembeni kuna askari wa uvamizi akasikia akaanza kumpiga mateke yule mzee ikawa zogo Okkelo akauliza kuna nini huko nyuma yule askari wa uvamizi akasema huyu anasema mnawatesa wanataka kufuturu...Okkelo akaamuru aletwe mbele ya high table na Okkelo akamtandika bakora Mpemba yule mzee wa miaka 65 tangu analia mpaka anakoroma na kukata roho pale pale mbele ya hadhara ....juu ya meza ta wavamizi..
Watu walirudi nyumbani hakuna aloweza kula kila mtu alikmlaani karume na okkelo ..leo tunaita matukufu....
 

Naunga mkono hoja

 
Last edited by a moderator:
Huyo ndiye alikuwa mwasisi na kiongozi wa mapinduzi hayo na sio Karume. Historia yoyote inayoandikwa na watawala huwa inaficha ukweli na kuwakweza wao hata kama hawajafanya kitu. Angalia Tanganyika nako historia za akina Kambona zilifutwa na kubaki za Nyerere na wale waliokuwa wakikubaliana naye. Siku yenyewe ya mapinduzi Karume hakuwepo hata huko Kisiwani alikuwa Dar aliporudi ndipo Okelo akasema anamkabidhi uongozi. Baada ya hapo kukafanyika njama za kumwondoa Okelo ili ionekane ni Karume ndiye aliyeassi na kuongoza mapinduzi wakati ukweli ni kuwa Karume alisepa
 

Iyo ndio casualty of war....lazima utishe watu..

Ndio maana juzi juzi Rais Shein aliwaambia uamsho kaeni mkijua hii ni nchi ya kimapinduzi...
 
Siku moja ulikua mkutano wa hadhara akihutubia Okkelo ilikua mwezi wa Ramadhani na watu wamefunga basi mkutano ule ulivuka mpaka wakati wa kufuturu na wakati ule lazima uende kwenye mikutano yao wavamizi.
Basi mtu mmoja mzee pembeni akawa analalamika kwa kumwambia mwenzie hawa hawajali kuwa sisi tumefunga hata kupika futari bado na time kufuturu tayari basi hawana huruma hawa? Pembeni kuna askari wa uvamizi akasikia akaanza kumpiga mateke yule mzee ikawa zogo Okkelo akauliza kuna nini huko nyuma yule askari wa uvamizi akasema huyu anasema mnawatesa wanataka kufuturu...Okkelo akaamuru aletwe mbele ya high table na Okkelo akamtandika bakora Mpemba yule mzee wa miaka 65 tangu analia mpaka anakoroma na kukata roho pale pale mbele ya hadhara ....juu ya meza ta wavamizi..
Watu walirudi nyumbani hakuna aloweza kula kila mtu alikmlaani karume na okkelo ..leo tunaita matukufu....
 

Habari mpya hiyo
 
Kijiwe gani cha bao na gahawa kina simulizi hizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…