Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

mchango wa okello hapa una changanya kuna victor mkello na huyu okello raia wa uganda ,mchango wa victor mkello aliyekuwa katibu mkuu wa vyama vya wafayakazi mashambani ni mkubwa ukiilinganisha na huyu mganda okello jukumu lake lilikuwa ni kutangaza na walimpa nafasi hiyo kutokana na kuwa na sauti nzito ,kimsingi anayetakiwa kuenziwa hapa ni victor mkello huyu mbondei wa muheza kwa mchango wake katika mapinduzi ya zanzibar.rejea simulizi kutoka katika kitabu cha kwaheri uhuru karibu ukoloni cha Dr harith ghassan
 
Sijui kwanini waliamua kutuficha!!!!

Niliwahi kusikia kuwa kuna kitabu kiliandikwa kuhusu mapinduzi ya Zanzibar na muhusika mkuu alikuwa John Okelo ila eti kilifichwa,sijui ukweli wake zaidi
 
Sijui kwanini waliamua kutuficha!!!!

Niliwahi kusikia kuwa kuna kitabu kiliandikwa kuhusu mapinduzi ya Zanzibar na muhusika mkuu alikuwa John Okelo ila eti kilifichwa,sijui ukweli wake zaidi


Ukweli ni kwamba huyu jamaa ni katika wachache sana duniani ambao wameongoza mapambano ya kuipindua serikali halafu akaachwa hai.
 
huyu ni "che guavara" wa afrika, sio hawa maboya wenu wanaocheka cheka tu!
 
Ukweli ni kwamba huyu jamaa ni katika wachache sana duniani ambao wameongoza mapambano ya kuipindua serikali halafu akaachwa hai.

walikuwepo akina Samuel wakaleta taabu na yule jamaa mwingine wa Misri ambae alizuiwa kambini.
wanasiasa huwa na wasiwasi kuwa wakiachwa huwa wanaona ile nchi waliyoikomboa ni mali yao na kuanza kujenga kibri
 
Siku ya mapinduzi inasemekana Karume alikuwa kajificha Dar wakati mashujaa wasioimbwa wakipambana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…