Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
kwani bigjii ikiisha utamu si inatemwa? yeye alitumika kwa lengo maalum so baada ya lengo kukamilika si basi na yeye kazi yake imeisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli Historia haina mwenyewe!Hata Karume alikuwa ni Mtu wa Malawi
Vp Kwa Fidel na Che mbona wote historia imewaandika? wakati Che hata urais hakuwahi kuwaWakati Mobutu seseseko anapinduliwa Hayati Laurent Kabila alikuwa Mikocheni Dar Es salaam
Wakati RPF wanakinukisha Kigali, Kagame alikuwa Kampala
Wakati wa Iran wanakinukisha Iran Ayatollah Khomein alikuwa Paris
Wakati Zimbabwe wanakinukisha Mnangagwa alikuwa Pritoria
Wakati wanajeshi wetu wanakinukisha Kampala Nyerere alikuwa Msasani Dsm
Wakati ZANU of wanakinukisha Zimbabwe Mugabe alikuwa Zambia
Viongozi wa Mapinduzi/ Mapambano huwa hawawi eneo la tukio ukiona upo eneo la tukio Wewe ni mpiganisha vita sio Kiongozi wa Vita ndio sababu Karume alikuwa Dar anakula bata Okelo akawa Eneo la tukio
Wewe unawajua Fidel na Cheguavara kwa kuwa ndio walioandikwa unawajua wasioandikwa? , Pengine kuna Watu wali play part kubwa kuliko Hao lakin hawakuandikwa na huwezi kuwajua!Vp Kwa Fidel na Che mbona wote historia imewaandika? wakati Che hata urais hakuwahi kuwa
Okelo hakuuawa na Amin acha story za vijiweni humuKuna kitabu niliwahi kukisoma kinasema huyo jamaa alikuwa mkenya aliyeishi Uganda pia alichangia kukamilisha mapinduzi ya Zanzibar.
Baada ya hayo alirudi Uganda akawa mtu wa karibu sana na Idd Amin Dada wa Uganda ila alijiharibia baada ya kusema maneno haya 'NOW UGANDA HAS TWO FIELD MARSHALS'
usemi huo wa John Okello ulimuudhi sana dikteta Idd amin dada maana alihisi kama Okelo alikuwa na mpango wa kuja kumpindua basi Idd Amin Dada akamuua mapema tu, huo ndiyo mwisho wa John Okelo.
Nyerere alipigana Frontline?John Okello alikodishwa Kama Mpiganaji Mamluki.
Kwenye Sherehe za Uhuru wa Kidemokrasia wa Africa Kusini ushawahi kusikia Nyerere anatajwa kule?
Mkuu kuna kitu utakigundua katika haya MapinduziNajaribu kuwaza, isingekua Okello kutokea kwenye picha za awali za mapinduzi pamoja na kutangaza mapinduzi hayo redioni, huenda leo tusingemsikia huyu mwanamapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna kitu utakigundua katika haya Mapinduzi
sasa Okello hawamkubali kabisa, kwani walijua wale wakwezi na wakulima wasingeweza kujitawala na pia wanajua hadi leo wakirudi mabeberu wa Sultani itakuwa km Dubai
- kuna wanayoyakubali na kuyaenzi mpaka leo wanaona wamepata Uhuru na Ahueni
- na kuna wanaoyaona Mapinduzi km ni Haramu Sultani alikuwa na Haki ya kuendelea kutawala kwani alishinda na kupewa Uhuru na Mwingereza Disemba 10, 1963
pana kazi Mkuu
Hayo ya kuwa Muasisi wa Tanu tunayapata kwenye maandiko ya Mohamed said kwa kuwa kiserikal kila kitu kafanya Nyerere na 'wenzie'
Kwa hiyo na kwa Zanzibar Mapinduzi alifanya Karume na 'wenzie' na Okelo yumo humo kwenye na 'wenzie'
Hata Africa kusini, Nyerere yupo kwenye Kundi la 'nakadhalika'
Nashukuru km upo na hutaki kunipa Ilimu yako mm nimenyoosha mikonoKazi kweli ipo.
Baada ya kumsikiliza Okello hebu sikiliza hapo chini:
Dropbox - KIPINDI MAALUM RADIO KHERI 104.10 FM MIAKA 50 MAPINDUZI YA ZANZIBAR.m4a
Mohamed Said: SIKIZA KIPINDI MAALUM: MAPINDUZI YA ZANZIBAR YA 1964