Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kwahyoo hayo ndo maendeleo.? Hebu jiulze kwann zanzbar hakuna ombaomba wa hovyohovyo km kwenu.?
Nyie wenywe mnashindwa kujitawal mtaweza kutawala watu wengne?
Dalili ya Dhambi ya ubaguzi hii ndugu yangu!Ndo tunawalisha nyie
Tunawapa umeme
Tunawalinda
Tunawapangia rais
Tunawatawala
Ukisema uhuru bandia unakosea ndugu mwanadishi. Muhammed Shamte Hamadi ndie waziri mkuu wa kwanza na ndie alipewa hati ya Uhuru mnammo tarehe 10/12/1963 ikitambulika Zanzibar Kama taifa huru. Huku likiandaliwa na bunge la Uingereza liwe chini ya jamhuri ya Kenya.Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji mkubwa wa damu.
YAITWAYO "MAPINDUZI"
John Okello alitoka kwao Uganda, Injin aliyetoka kwao Kenya na Mfaranyaki aliyetoka Tanganyika, na kuivamia nchi huru usiku wa manane wa kuamkia tarehe12 Januari 1964. Wananchi, mafisadi kwa sababu ya maslahi ya nafsi zao hawakuhisi uchungu kuipoteza nchi yao, wala kuzipoteza roho za wazee wao, za ndugu zao na za marafiki zao. Kwa mujibu wa kitabu cha huyo aliyejipa ujamadari wa hayo 'mavamizi' ya Januari 12, 1964, John Okello, amesema kuwa watu waliyokufa katika 'mavamizi' hayo ni 13,000. Hii ni idadi ndogo kabisa aliyopenda kuitaja.
Ukatili, ushenzi na unyama uliofanywa katika visiwa hivi vilivyokuwa na ustaarabu wa kupigiwa mfano, hauwezi hata kuhadithika. Wengi waliokuwa wanaijua Zanzibar, waliona taabu kuyaamini waliyokuwa wameyasikia yametokea Zanzibar kutokana na hayo yenye kuitwa 'mapinduzi'. Ilifika hadi, siku hiyo ya 'mavamizi' washenzi na makatili hao kuwanajisi maiti wa kike.
Kitendo hicho hakijawai kufanyika katika nchi nyingi ulimwenguni zenye ubinaadamu na ustaarabu wake. Lenye kuzidi kushangaza na kusikitisha ni kumsikia mwananchi mwenye kujulikana kuwa yeye ndiye mwongozi wa hao wenye kujiita "progressives" akasema kuwa, watu waliyouliwa katika hayo yenye kuitwa 'mapinduzi' ni 491! Duh!
Mwenyewe Okello alieongoza hayo mauwaji amesema kuwa wamekufa wananchi 13,000. Hata wangekuwa watano tu, bali ni binaadamu, ni wananchi, jee, ndio wawe wamestahiki kuuliwa kwa kuvamiwa nchi yao na wageni ambao wewe na wenzio kama wewe mmechanganyika na hao wageni katika kuifisidi nchi na wananchi wake? La kustaajabisha zaidi - ni pale ilipojulikana kuwa haya yote yalipangwa kabla - kwa siku 30 tu yaaani Desemba 10 mpaka Januari 11 ilitosha kujuwa uovu wa Serikali hata ikastahiki kupinduliwa? Hata ingelikuwa ni ovu hivyo, bali njia za kuiondowa za kikatiba zilikuwepo ambazo zingaliweza kutumika, khasa na hao Wapinzani. Haikuhitaji hata kidogo kutumia nguvu. Lakini hakika khasa ni kuwa mambo yalikwisha pangwa zamani, hayo yalikuwa ni matekelezo tu!!
Hata Rais mnashindwa kumpata mumekuja Zanzibar kuomba mwanamke awaongoze, mashoga ni shidaSababu zanzibar serikali ndo inaomba omba kwetu kwa niaba ya watu wake milion 2. Kamkoa hako ndo tunakasadia.
Hilo nalo swali? Rais wenu anachaguliwa wapi na nani? Na akiwa mjeuri nini kinampata? Unamkumbuka aboud jumbe? Mi naona unabisha tu kinafiki ilhali wajua kuwa zanzibar inatawaliwa na Bara.ni kakoloni ketu kadogo. Rais tunamweka tunayemtaka sisi.
Hilo jina lako uliona sababu Mod hawataruhusu Uondoe V. Uweke J? ππππ Why unajiita kiungo hicho? Ni sababu ndivyo ulivyo...Hata Rais mnashindwa kumpata mumekuja Zanzibar kuomba mwanamke awaongoze, mashoga ni shida
Ndiyo maarifa ya machizi hayoHilo jina lako uliona sababu Mod hawataruhusu Uondoe V. Uweke J? ππππ Why unajiita kiungo hicho? Ni sababu ndivyo ulivyo...
Umefikiria nini kujiita hilo jina la kiungo hicho?πNdiyo maarifa ya machizi hayo
Nilifikiria maarifa ya machiziUmefikiria nini kujiita hilo jina la kiungo hicho?π
Historia ya kweli Tanganyika haiwezi kuiface. Okello alitumiwa na Nyerere kupindua Zanzibar, sasa tueleze unahitaji tuendelee na historia hii ? Au unapendelea ile ya kubabaisha ? Aliepinduliwa alikuwa kiongozi halali Zanzibar wakaekwa vibaraka vya Tanganyika ambavyo vimeuza mamlaka ya Zanzibar.Philemon umesema ukweli,
Historia ya Tanzania imekuwa na tabia ya kufuta michango ya wale ambao hawakupendwa na wakubwa: John Okello akiwa mmoja wao.
Ingawa sijasoma maandiko yaliyopo kuhusu historia ya Tanzania kwa muda mrefu ukweli wa kuwa majina kama ya Okello, Kambona, na Kanali Mahafudhi yamefutika kabisa katika historia ya Tanzania. Bibi Titi Mohammed alipata bahati baada ya kurudi CCM na hivyo kurudisha jina lake katika historia lakini nalo lilikuwa limeshapotea.
Tutafute utaratibu wa kutunza historia kamilifu ya nchi bila kujali uhusiano wa wahusika na "ukoo wa mfalme" ulikuwaje.
Mr F.Historia ya kweli Tanganyika haiwezi kuiface. Okello alitumiwa na Nyerere kupindua Zanzibar, sasa tueleze unahitaji tuendelee na historia hii ? Au unapendelea ile ya kubabaisha ? Aliepinduliwa alikuwa kiongozi halali Zanzibar wakaekwa vibaraka vya Tanganyika ambavyo vimeuza mamlaka ya Zanzibar.
Maasalaam