Niliwaonyesha watazamaji baadhi ya vitabu muhimu vya historia ya Zanzibar pamoja na kitabu, ''Masimulizi ya Sheikh Thabit Kombo Jecha,'' kitabu ambacho nilisema mwandishi Minael- Hosanna O. Mdundo amepotosha mambo mengi.
Kinachosangaza sana ni kule kuona watanganyika wakikasirika sana pale nchi za magharibi zinapoingilia mambo ya ndani ya nchi. Wakati huo huo Tanganyika ikiwa kinara cha kuingilia masuala ya siasa za Zanzibar bila ya hata aibu.
Hadi leo bado Tanganyika inaendelea kushikilia na kueka watu inaowaona ndio wanafaa kuongoza visiwa vya Zanzibar. Binafsi sipendelei kusikia masuala ya Mapinduzi wala muungano, naamini vyote ni haramu na havina tija wala maslahi yoyote.
Sina tatizo lolote na mtanganyika au mtu yoyote binafsi, nasimama kwenye haki na maslahi ya watu tuu. Mahusiano kati ya Tanganyika na Zanzibar hayawezi kuepukika, ni nchi jirani na watu wake wana mahusiano ya kifamilia, kirafiki nk.. Bado sioni hili kuwa ni sababu ya Tanganyika kujivisha kilemba cha ukoloni dhidi ya Zanzibar.
Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar
Video ikimwonesha Okello,Karume na Babu masaa machache baada ya Mapinduzi
Ni Mapinduzi Matukufu ya Tanzania Visiwani maana naona mnachanganya sana kule Tanganyika mnaweka Tanzania Bara, sasa kwanini sio Mapinduzi Matukufu ya Tanzania ya Viwanda!
Ni Mapinduzi Matukufu ya Tanzania Visiwani maana naona mnachanganya sana kule Tanganyika mnaweka Tanzania Bara, sasa kwanini sio Mapinduzi Matukufu ya Tanzania ya Viwanda!
Ni Mapinduzi Matukufu ya Tanzania Visiwani maana naona mnachanganya sana kule Tanganyika mnaweka Tanzania Bara, sasa kwanini sio Mapinduzi Matukufu ya Tanzania ya Viwanda!
Kuna utukufu wa aina nyingi, kuna utukufu wa Mungu, na utukufu wa dunia hii. Mfano Ikulu ni mahali patakatifu, hivyo mkaaji wa mahali patakatifu ni mtakatifu hadi kuitwa Mtukufu Rais, Bunge Tukufu, etc.
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi...
Kuna utukufu wa aina nyingi, kuna utukufu wa Mungu, na utukufu wa dunia hii. Mfano Ikulu ni mahali patakatifu, hivyo mkaaji wa mahali patakatifu ni mtakatifu hadi kuitwa Mtukufu Rais, Bunge Tukufu, etc.
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi...
Hilo ni jina, waandishi tunatumia majina kama yalivyo bila kuhitajika kujua maana yake, hivyo ukijitambulisha unaitwa Jagina, tunakuita Jagina, bila kujali maana ya Jagina. Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi...
Hilo ni jina, waandishi tunatumia majina kama yalivyo bila kuhitajika kujua maana yake, hivyo ukijitambulisha unaitwa Jagina, tunakuita Jagina, bila kujali maana ya Jagina. Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi...
Hilo ni jina, waandishi tunatumia majina kama yalivyo bila kuhitajika kujua maana yake, hivyo ukijitambulisha unaitwa Jagina, tunakuita Jagina, bila kujali maana ya Jagina. Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi...
Hilo ni jina, waandishi tunatumia majina kama yalivyo bila kuhitajika kujua maana yake, hivyo ukijitambulisha unaitwa Jagina, tunakuita Jagina, bila kujali maana ya Jagina. Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi...
Zoom is the leader in modern enterprise video communications, with an easy, reliable cloud platform for video and audio conferencing, chat, and webinars across mobile, desktop, and room systems. Zoom Rooms is the original software-based conference room solution used around the world in board...
us02web.zoom.us
Meeting ID: 841 3626 6608
Passcode: 587900
One tap mobile
+16465588656,,84136266608#,,,,*587900# US (New York)
+16699009128,,84136266608#,,,,*587900# US (San Jose)
Dial by your location
+1 646 558 8656 US (New York)
+1 669 900 9128 US (San Jose)
+1 253 215 8782 US (Tacoma)
+1 301 715 8592 US (Washington DC)
+1 312 626 6799 US (Chicago)
+1 346 248 7799 US (Houston)
Meeting ID: 841 3626 6608
Passcode: 587900
Find your local number: Video Conferencing, Web Conferencing, Webinars, Screen Sharing
Hilo ni jina, waandishi tunatumia majina kama yalivyo bila kuhitajika kujua maana yake, hivyo ukijitambulisha unaitwa Jagina, tunakuita Jagina, bila kujali maana ya Jagina. Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964, yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Wanabodi, Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kama ni kuhusu utukufu wa Mapinduzi hayo, Jee Mapinduzi ya Zanzibar yana utukufu gani hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.