Kenya 2022 Mapingamizi ya uchaguzi wa Rais Kenya: Yanayoendelea Mahakama ya Juu

Kenya 2022 General Election
Wakili Mahat Somane: Hakuna mtu, hata Chebukati hawezi kupakia fomu 34A ambayo si ile iliyopakiwa kwenye kituo cha kupigia kura.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Mahat Somane: Fomu 34A zilizowasilishwa na Azimio ni ghushi.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Mahat Somane: Hakukuwa na madai kwamba fomu 34A kwenye tovuti ni tofauti na ile halisi ambayo waliithibitisha.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Mahat Somane: Ikiwa mfumo upo ambao unaweza kubadilisha JPEG ya hati iliyoandikwa kwa mkono hadi CSV, kwenye fomu ambayo ina sahihi na alama maalum na kuibadilisha kuwa PDF, tunataka kuinunua. Haiwezekani.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Mahat Somane: Ikiwa mfumo upo ambao unaweza kubadilisha JPEG ya hati iliyoandikwa kwa mkono hadi CSV, kwenye fomu ambayo ina sahihi na alama maalum na kuibadilisha kuwa PDF, tunataka kuinunua. Haiwezekani.
Your browser is not able to display this video.
 
Achana na hayo - wakili wa IEBC, Mahat Somane kwa Azimio.
Your browser is not able to display this video.
 
Kitengo cha Polisi cha Kupambana na Ugaidi kina uhusiano gani na chaguzi zetu? - SC Abdikadir Mohamed.
Your browser is not able to display this video.
 
Fred Ngatia: Itakuwa uzushi kwa Mahakama ya Juu kuchukua jukumu la wapiga kura na kumtangaza mshindi.
Your browser is not able to display this video.
 
Fred Ngatia: Raila hataki kukubali kushindwa au kushiriki marudio ya uchaguzi yaliyofanywa na Chebukati, suluhu analotoa kwamba Cherera aendeshe IEBC lingeitumbukiza Kenya katika mgogoro.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Katwa Kigen: John Githongo alitumia stakabadhi ambazo zilitumwa na Makau Mutua mnamo 2017 kuthibitisha udukuzi.
Your browser is not able to display this video.
 
Muthomi Thiankolu: Jina la John Mark Githongo linachanganya majina ya watakatifu wawili lakini ana uthubutu wa kutengeneza maneno ghushi.
Your browser is not able to display this video.
 
Dkt. Muthomi Thiankolu: Je, tutaamini makamishna 4 tuliowaona kwa siku 6 mchana na usiku kwenye TV wakitangaza matokeo mengi, lakini mshindi alipodhihirika, waligeuka nyuma na kusema Bw Chebukati ni mtu mbaya?
Your browser is not able to display this video.
 
Dkt. Muthomi Thiankolu: Wanasiasa wanapaswa kushikamana na siasa na kuwaachia wasanii hadithi za uwongo.
Your browser is not able to display this video.
 
Hata kama ungekuwa mwema kama Father Christmas, kesi hii haina ubishi - Muthomi Thiankolu.
 
Kithure Kindiki: Raila na wafuasi wake walijaribu mapinduzi
Your browser is not able to display this video.

.
 
Mlalamishi(Raila) alifurahishwa na mchakato huo hadi pale ulipoonyesha ushindi kwa upande mwingine - Katwa Kigen.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…