Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
- Thread starter
- #161
CJ Martha Koome: Kuna utaratibu wa kina uliotolewa wa kuondolewa kwa agizo la afisi ya kikatiba, tukimwondoa Chebukati, tutakuwa tunafanya kwa mujibu wa sheria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meela ni nini sababu ya kupelekwa kesi hii mahakamani?Uchaguzi haurudiwi. Rutto is undisputtable winner. Hata hivyo uchaguzi ukirudiwa hata mara 50 Odinga will never win labda apewe tu urais nje ya msingi wa kura. Lakini je hiyo inawezekana?
This judge is poking holes in Azimio's case!!Jaji Smokin Wanjala: Kwa nini Cherera na wengine hawakuandamana walipopewa majukumu mengine na Chebukati kama walivyosema mawakili wao?
View attachment 2341484
Vile mambo yanaendelea, Azimio lazima wakuwe na evidence ya nguvu, la sivyo sioni wakitoboa!Je, tuna ushahidi gani kwamba malalamiko ya Cherera hayakuwa mawazo ya baadaye?
View attachment 2341493
Hayo ni maswali ya majaji ambao wao ni kama wanaomba clarifications ya some issues tu!Vile mambo yanaendelea, Azimio lazima wakuwe na evidence ya nguvu, la sivyo sioni wakitoboa!
Hizo clarifications ndio sidhani Azimio lawyers wanazo, nikama walipatwa off-guard..., they are not quite convincing, alafu so far yale boxes walitaka zidhibitishwe by jana tisa zilikua sawa, hakuna dosari yoyote, wacha tungoje, kwa vile in court only one evidence inaweza badilisha kila kitu..,Hayo ni maswali ya majaji ambao wao ni kama wanaomba clarifications ya some issues tu!
Bado hawajaja upande wa pili ambao ndiyo watachimba deep deep deep..
Ngoma inogile hapa..
Zoezi la kuhesabu bado linaendelea wewe umeshakuja na matokeo tayari ya re count?Raila analiwa pesa bure, Orengo amepwaya sana, re count sampling imefanyika hakuna jipya lolote. Mawakili wake wameulizwa maswali mepesi tu hawana justification. Raila is an Epitome of loosing
Naomba kama una clip ya Phillip aki clarify jinsi handwriting picha ya miandiko tofauti ilivyokuwa modified.Acha kupotosha!!??Hakuna wakili aliyejibu zaidi ya Philip Murgor ku clarify
CJ hakuwapa nafasi ya kujibu leo amewaambia wajibu maswali wakati wanafanya rejoinder......
On top of that hayo maswali yakijibiwa yanaclear doubt. Huoni kwamba wanalay ground for Raila win
Saa 10 jioni ya leo utanipa majibuZoezi la kuhesabu bado linaendelea wewe umeshakuja na matokeo tayari ya re count?
Nikadhani wewe ni mmojawapo wa waliopo pale wanahakiki.Kumbe na wewe unasubiri kama sisi wengine.Saa 10 jioni ya leo utanipa majibu
Acha umbea,ingawa kura katika vituo tajwa zimishahesabiwa ila report haijatolewa bado.Raila analiwa pesa bure, Orengo amepwaya sana, re count sampling imefanyika hakuna jipya lolote. Mawakili wake wameulizwa maswali mepesi tu hawana justification. Raila is an Epitome of loosing
Endelea kusubiriAcha umbea,ingawa kura katika vituo tajwa zimishahesabiwa ila report haijatolewa bado.
Busara ni kusubiri wahusika watoe matokeo rasmi,sote hapa ni wafuatiliaji tu,hakuna muhusika wa moja kwa moja.Endelea kusubiri
Mkuu unajua majaji wanachofanya kupitia hayo maswali!, Wanauliza makusudi sana ili ikifika wakati wa kuingia ndani zaidi basi wanakuwa na maelezo yenu ya awali ili mkijichanganya wanamaliza kazi.Hayo ni maswali ya majaji ambao wao ni kama wanaomba clarifications ya some issues tu!
Bado hawajaja upande wa pili ambao ndiyo watachimba deep deep deep..
Ngoma inogile hapa..