Kenya 2022 Mapingamizi ya uchaguzi wa Rais Kenya: Yanayoendelea Mahakama ya Juu

Kenya 2022 General Election
James Orengo: IEBC inarudi nyuma.
Your browser is not able to display this video.
 
James Orengo: Haijalishi ikiwa utapata kura milioni 10 au 20 ikiwa utapata kwa kughushi nyaraka.
Your browser is not able to display this video.
 
James Orengo: Ikiwa wewe ni Messi au Ronaldo, hata hivyo mabao mengi utakayofunga ukiwa umeotea, haitahesabiwa.
Your browser is not able to display this video.
 
James Orengo's final submission.
Your browser is not able to display this video.
 
SC Zehrabanu Janmohamed: Tofauti na James Orengo na Githu Muigai, nilienda shule ambayo ilitufundisha "Things fall apart", sio Shakespeare.
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Tom Macharia: Chebukati ni wakili maarufu aliyehitimu kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu, alielewa kesi ya Maina Kiai. sababu pekee ya kufanya alichokifanya ni kwa msemo wa Kikenya "mtado?".
Your browser is not able to display this video.
 
Wakili Murgor anajibu changamoto ya Mahat Somane ya programu inayobadilisha PDF kuwa JPEG.
 
Wakili Murgor anajibu changamoto ya Mahat Somane ya programu inayobadilisha PDF kuwa JPEG.
Your browser is not able to display this video.
 
Githu Muigai: Waleta mapingamizi hawajibu maswali, wanatoa kesi mpya, tunahitaji fursa ya kujibu.

CJ Koome: Tunajua nini cha kupuuza.

Fred Ngatia: Puuza kila kitu ambacho Tom Macharia aliwasilisha.

CJ Koome: Tunajua jinsi ya kutenganisha makapi na ngano.
Your browser is not able to display this video.
 
Willis Otieno: Ripoti ya Kriegler haikusema kumpanga Jose Camargo kama kiungo kama Diego Maradona kukaa katikati na kuanza kusambaza matokeo.
Your browser is not able to display this video.
 
Willis Otieno: Fundi akisharekebisha bafu lako, hana kazi ya kuwa bafuni kwako unapooga. Ukimpata, unamwambia “nenda nyuma yangu shetani” kama inavyosemwa katika kitabu cha Marko 8:33. CJ Koome: Hebu tuzingatie sheria.
Your browser is not able to display this video.
 
Willis Otieno: Mpiga kura wa kawaida wa Kenya hawezi kuwa na mawakala 46,000 kutazama uchaguzi. Wajibu ni kwa IEBC kuandaa uchaguzi huru na wa haki.
Your browser is not able to display this video.
 
Willis Otieno: Kulikuwa na amani huko Bomas kwa sababu kwaya iliimba mchana na usiku. IEBC ilipaswa kutangaza maeneo bunge 27.
Your browser is not able to display this video.
 
Hakuna lacuna katika sheria - Willis Otieno.
Your browser is not able to display this video.
 
Willis Otieno: Mamba anapotoka majini na kukuambia kuwa mamba ni mgonjwa, unamtilia shaka? Makamishna wanapoibuka na kusema michakato yetu ni opaque, unatia shaka?
Your browser is not able to display this video.


 
CJ Koome anamkemea Willis Otieno kwenye mada yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…