Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuko pamoja katika hiliNullification of the election is underway.Anayebisha ajitokeze naweka laki yy aweke jiwe
Nullification si rahisi hivo unafikiria. Lazma kuwe na makosa mengi sana kwenye process nzima au ukiukaji mkubwa wa katiba. Binafsi sidhani mawakili wa azimio wameweza kudhibitisha makosa mengi hivo kuwezesha nullification.Nullification of the election is underway.Anayebisha ajitokeze naweka laki yy aweke jiwe
Niko poa kabisa, I hope the self proclaimed Hustler atathibitishwa kuiongoza jamhuri ya Kenya.Nipo Kaka,nasubiri Jumatatu CJ amalize ubishi wetu.Salama lakini?
Nimeshaweka jiwe tayari, wadhamini wetu akina nani?Nullification of the election is underway.Anayebisha ajitokeze naweka laki yy aweke jiwe
2017 ni kitu kidogo sana kwa macho ya ki layman kilipelekea nullification ya uchaguzi.Safari hii sijaona swali la Judges likijibiwa kwa ufasaha,kwa nini M/Kiti aliamua kujipa madaraka makubwa yeye na wenzie kuwanyima,lakini pia iweje kulikuwa na uharaka wa kutangaza matokeo,kwanini hakupata muda wa kusettle issues na wenzie.Naona hapo Mawakili wameruka ruka tu,hakuna aliyetoa jibu la kujitosheleza.Nullification si rahisi hivo unafikiria. Lazma kuwe na makosa mengi sana kwenye process nzima au ukiukaji mkubwa wa katiba. Binafsi sidhani mawakili wa azimio wameweza kudhibitisha makosa mengi hivo kuwezesha nullification.
Ila hii issue ya chair wa iebc na makomishna wengine ndo itakua the elephant in the room
It's my hope 'Baba' will win this battle in Supreme Court.All in all,may the best win na maisha yaendelee.Niko poa kabisa, I hope the self proclaimed Hustler atathibitishwa kuiongoza jamhuri ya Kenya.
Mimi hapa [emoji3][emoji3]Nimeshaweka jiwe tayari, wadhamini wetu akina nani?
2017 kwa nini uchaguzi ulitenguliwa? Kama Ruto atapewa ushindi ni kwa sababu ya facts zilizokuwa presented in Court na siyo swala la kuepuka gharama.Kenya wamesha dare kurudia uchaguzi,hakuna jipya katika kutengua matokeo kama Mahakama itajiridhisha hivyo.Conclusion yangu kwenye huu uchunguzi na case inayoendelea.
1. Supreme will uphold Ruto"s win. Sio kwa sababu ya kutokuwa na udanganyifu bali kuepusha gharama za kurudia chaguzi
2. Kulikuwa na udanganyifu wa kupanga, kwa lengo la kumnufaisha RUTO
3. Ruto ni smart thief, he outsmart even the sitting president Kenyata!
4. DP Ruto was powerful man in Jubilee than Uhuru.
5.such brilliant mind deserves to be a president Kenya
You are entitled to your opinion. Mine election will be nullified.Nullification si rahisi hivo unafikiria. Lazma kuwe na makosa mengi sana kwenye process nzima au ukiukaji mkubwa wa katiba. Binafsi sidhani mawakili wa azimio wameweza kudhibitisha makosa mengi hivo kuwezesha nullification.
Ila hii issue ya chair wa iebc na makomishna wengine ndo itakua the elephant in the room
Chagua yyte yule humuNimeshaweka jiwe tayari, wadhamini wetu akina nani?
ras jeff kapita , nimeshaweka jiwe, wewe weka hiyo laki, shahidi wetu Da' Nyamizi.Mimi hapa [emoji3][emoji3]
Mimi ni mkenya na mfwasi wa raila ila nafeel kesi ya mwaka huu si nzito vile kama ya 2017. Itakua miujiza majaji angalau wanne wakiunga mkono kutenguliwa kwa uchaguziYou are entitled to your opinion. Mine election will be nullified.
Ahaaaa!, Kumbe you like Raila Odinga. Sawa. Hata akiwin Odinga napo sawa tu! Japo Ruto ni Mafia, kama aliweza kuwaoutsmart the Hague, ni mtu hatari.It's my hope 'Baba' will win this battle in Supreme Court.All in all,may the best win na maisha yaendelee.
Just to insight you 2017 Akombe ofisa ndie alikuwa wa kwanza kuzungumza uchafu wa uchaguzi ule. Now we hv 4 commissioners dicenting!!??ThinkMimi ni mkenya na mfwasi wa raila ila nafeel kesi ya mwaka huu si nzito vile kama ya 2017. Itakua miujiza majaji angalau wanne wakiunga mkono kutenguliwa kwa uchaguzi