Mapishi Yangu

Mzigua90

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2014
Posts
38,342
Reaction score
88,625
Weekend hii nilimpumzisha dada kupika nikaingia jikoni mwenyewe. Dada wangu wa kazi anajua kupika hivyo mara nyingi namuachia apike yeye. Jana nilipika biriani ya nyama nikasahau picha. Leo jioni nimepika hizo TAMBI ZA NYAMA YA KUSAGA. Alie karibu asogee kula.
 

Hakuna spaghetti sauce??

Umeweka viungo gani? Tumeric? Cumin? Curry?
 
Hakuna spaghetti sauce??

Umeweka viungo gani? Tumeric? Cumin? Curry?
Hivi kuna spaghetti sauce? Ntaitafuta next time niitumie. Nimeweka tumeric cumin na giligilani (huwa nablend huo mchanganyiko na mafuta naweka kwenye fridge nikitaka kupika nachota naweka) kwenye nyama wakati nachemsha. Sipendi maviungo wakati wa kupika natumiaga wakati wa kuchemsha au kukaanga.
 
Ndefu zinaboa bwana wakati wa kula.. nimekata fupi fupi pia kwa ajili ya mtoto.
fupi zinahitaji wataalam kama nyie la sivyo kwangu zitakuwa ugali...siku nikipika nitaweka picha hapa ucheke.

uzi uwepo tu.
 
fupi zinahitaji wataalam kama nyie la sivyo kwangu zitakuwa ugali...siku nikipika nitaweka picha hapa ucheke.

uzi uwepo tu.
Hahahaaaa.. kwanini ziwe ugali? naisubiri hiyo picha kwa hamu nione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…