Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha porojo vipi zilizokuwa enzi zako za kuimba mapambio,bila kujali pambio baya au zuri?Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Jpm ndo alikuwa analazimisa mpka shule zinafungwa ili kumlaki. Cc at jude mpka ikafungwa kisa waligomaHiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Ila we jamaa 😁😁😁 au ni mheshimiwa uliyetemwa kwenye ule mhimili wa wamiliki wa majimbo? Mbona umebadilika ghafla hivi? 😂😂😂😂Watu wanageuka mateka ndani ya nchi yao.
Hivi kesho kiingilio ni bure Au hadi uwe na notiWatu wanageuka mateka ndani ya nchi yao.
Mkuu ni mtaa upi huo watu wamelazimishwa?ni nani anawalazimisha?manake mimi sijakutana na kadhia hiyo na ninafanyia shughuli zangu katikati ya mji,wala sijaona mahali popote huku mjini watu wanalazimishwa.Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Jana usiku niliona mabango mapya ya mama wanayabandika, kuanzia sanawari pale kuja townMkuu ni mtaa upi huo watu wamelazimishwa?ni nani anawalazimisha?manake mimi sijakutana na kadhia hiyo na ninafanyia shughuli zangu katikati ya mji,wala sijaona mahali popote huku mjini watu wanalazimishwa. Halafu hata wangelazimishwa nadhani sio mbaya kulazimisha jambo zuri.
Acha porojo vipi zilizokuwa enzi zako za kuimba mapambio,bila kujali pambio baya au zuriHiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Tena ni Bora sana aliyebahatika kuwa mateka TU na hatimaye akarejea salamaWatu wanageuka mateka ndani ya nchi yao.