TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nilitegemea huko wafurahi zaidi.Watu wanageuka mateka ndani ya nchi yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitegemea huko wafurahi zaidi.Watu wanageuka mateka ndani ya nchi yao.
Wanaambiwa amiri jeshi mkuu anakujaNi ujinga na ni ndio kipimo cha elimu ya Tanzania.
Hapo hapo Arusha dikteta wa chato alilazimisha wanafunzi kwenda kumsikiliza wakawa wanasombwa muda wa vipindi.
Shule moja walipokataa wakapigwa drni la bilioni 6.
Mungu ni mwema wakati woteNi ujinga na ni ndio kipimo cha elimu ya Tanzania.
Hapo hapo Arusha dikteta wa chato alilazimisha wanafunzi kwenda kumsikiliza wakawa wanasombwa muda wa vipindi.
Shule moja walipokataa wakapigwa drni la bilioni 6.
Mkuu watu wana lazimiswa wakampokeee Chifu, mimi labda wanipe pesa ila sitaenda, hadi usiku huu Gari inazunguka kuhamasisha watu wajitokezeHiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Kwahiyo kufanya usafi unao kuhusu nao umekuwa ni utumwa sio..Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Akiweka nitag pleaseWeka picha tuone
Nimeambiwa ni 'mughaboghabo" ndiye mgeni rasmi,chifu yu wapi?Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Umeleta Uzi wenye Hoja ya Kipuuzi na iliyojaa Chuki, Roho Mbaya, Wivu na Uchochezi usio na Tija kwa Jamii ya Watanzania.Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Kweli ni udictator, lakini haukuti ule wa yule kiongozi muovu aliyeko motoni.Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Kwan ule usafi wa kila jumamosiHiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
vumilia tu, maana yatima hadeki. kama vipi nenda kachimbe pembeni nawe ujizike hapo.Hiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
hao ni miongoni mwa wale mayatima. wala usipate shida kuwahusu,Kwan ule usafi wa kila jumamosi
Ilikuwaje,mzee mbn sahv unakuwa mtu wa kulalamika
Ova
Acha ujinga boya wewe, kwahiyo usafi nao unataka wafanye serikali?Watu wanageuka mateka ndani ya nchi yao.
We ni FalaHaipendezi kumlazimisha mtu afanye usafi kisa movie tu.
Wewe hapo kwako huwa unadeki chumba kabla ya kutazama movie??
Uwe nakili kabla yakuandika usafi nimuhimu na sio swala la hiyari nilazima usipofanya kwa hiyari juwa utalazimishwa kwa nikitu muhimu katika afya yako wangefanya usafi kabla yahapo wasinge lazimishwa au ulitaka mwenge uje ukufanyie usafi inaonekana hata nguo zako hufui ukinisogelea Mimi nitakulazimisha uzifue harufu mbaya haitakiwiHiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.
Na watalazimishwa kwenda uwanjani na wakati huku kaskazini hakuna mtu anamtaka huyu bibiHiyo Kesho shamra shamra za kuzindua Filamu Arusha.
Watu wanalazimishwa kutoka na kufanya usafi mitaani.
Kama ni udikteta ndio huu.