Uchaguzi 2020 Mapokezi makubwa aliyopewa Lissu na wakazi wa Chato yana ujumbe mkubwa uliokuwa umejificha mioyoni mwao

Asante kwa ufafanuzi
 
Kutendewa jambo hili mahali ambapo ndio kama shina lako lilipo linakufunulia jambo kubwa sana ambalo unapaswa kutulia na kulitafakari kwa kina

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Jina lako la Polokwane ni zuri mno lakini inaonekana unaufinyu wa ukweli,Tanzania ni yetu sote na hakuna mwenye hati miliki ya nchi,President Pombe anaweza fanya siasa singida ila Mgombea wa Chadema hawezi fanya siasa chato,huu ni ushenzi wa hali ya juu.Polokwane kuna uhuru na haki sasa wewe mbona hutaki haya yatokee ndani ya chato?binafsi wewe ni mchochezi na mwongo usiyeitakia nchi yetu Amani.
 
Ahsante kwa taarifa. wafuasi wa chama cha mazuzu (ccm) wanaweweseka. anasema picha siyo ya chato ukimuuliza ya wapi anatoa povu.
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Eleza hiyo picha ya wapi?
 

Hahahahahaha chadema bhana hivi kweli hao wanaweza zidi walio mpokea Magufuli? Hahahahaha hata iweje hapo chadema hawawezi kushinda hata kidogo hahahag
 
Ndio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
Ni kweli hata pata ,Mbona Magufuli anapiga magoti kuomba kura?Mbona anatumia NEC na polisi kupata kura ,Mbona mnatumia nguvu nyingi kuomba ridhaa tena,Mbona mawe tena !Lissu go Lissu
 
Asante kwa ufafanuzi Mkuu, hawa mataga utopolo kazi yao ni kupotosha tu.
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Ukubali usikubali habari ndio hiyo watu walikuwa ni wengi Chato sasaiv habari ni Lissu tu
 
Ndio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
Mlichobaki sasa hivi kila mwana CCM kutaja asilimia ya kura atakazopata Lisu. Sijui tafiti hizo mlifanyia vyumbani mwenu!!
 
Mr. Intaprinyuaa hapendwi popote pale. Sema tu kwakuwa ana mamlaka juu ya fedha na majeshi watu humpamba ili wapate kuishi salama na kulisha familia zao
 
Ndio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
Wivu sina ila roho inaumaa.. naimba tu Mkuu. Jiwe anaenda KUSHANGAZWA pakubwa, ninyi WAPORAJI wa mabox na nakala za kura mtakua na kibarua kigumu sana mwaka huu.
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Usipende kuwa na ubishi wa kijuha, utaliwa kijambio.
Nilidhani unabisha sababu unapafahamu Chato kumbe unabisha kwa sababu ya muda!! Kwa taarifa yako tu ni kwamba ukiwa Chato mpaka saa moja jua linaonekana likiwa linaishis.

Nime attach clips mbili hapo chini kwa faida yako.
Moja akiwa anahutubia kwa kifupi sababu muda umekwenda.
Ya pili ni baada ya mkutano nje kabisa ya huo muda uliokwenda.

Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Ungeweka na wewe picha yako ya hiyo jioni unayosema ili tuone utofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…