Uchaguzi 2020 Mapokezi makubwa aliyopewa Lissu na wakazi wa Chato yana ujumbe mkubwa uliokuwa umejificha mioyoni mwao

Uchaguzi 2020 Mapokezi makubwa aliyopewa Lissu na wakazi wa Chato yana ujumbe mkubwa uliokuwa umejificha mioyoni mwao

Kaka CHATO jana wameoga aibu kubwa sana na hawatarudia kufanya ujinga CHATO

-Kwanza wameogopa kufanyia mkutano wao CHATO makoa makuu ya Wilaya wamefanyia mganza
-Pili walijitahidi sana kusomba watu kutoka Katoro ili waonekane wanaungwa mkono lakini bado idadi wa wahudhuriaji ilikuwa ndogo, ushahilidi for a hili rejea vedeo zinazosambaa mtandaoni wote wanaolalamika kupopolewa na mawe wanasema wametoka Katoro
- Hivi idadi ya wati ingekuwa kubwa kiasi kile nani angeweza kupopowa msafara wa Lissu kwa mawe??
Kwanza wewe ni muongo. Msafara wa Lissu haukupigwa mawe bali ni gari la matangazo ambalo lilikuwa limeachwa nyuma. Pili hapo Lissu alipofanyia mkutano kama angeenda mjini basi angefunika mbaya.
 
Kaka mawe ni jambo la kupangwa. Watu wanalipwa kwa kazi hiyo, kisiasa halimjengi aliyepanga. Watu wanapiga kura za hasira kupinga hicho kitendo
Nani amekataza wasimpigie kura? Hivi inafurahia anavyomtukana Rais? Kwani ni yeye mgombea pekee wa upinzani? Mbona wengine wana kampeni za kistaarabu! Alivyo mshari kwanini karudi kanda ya ziwa baadala ya kusonga mbele, huyo ni mchokozi ma anatafuta kura za huruma maana ile ya kupigwa risasi imebuma!
 
Bro acha kabisa yaani amepopolewa na mawe balaaa, nusu ajisaidie kinyesi chepesi.
Taratibu watamuelewa kuwa dhamira yake si safi kwa nchi yetu! Kumbuka kila kitu kinachofanyika anakipinga na akiona amepwaya anaanzisha visa ili kuichokoza serikali. Mungu yupo tutavuka tu
 
Kwanza wewe ni muongo. Msafara wa Lissu haukupigwa mawe bali ni gari la matangazo ambalo lilikuwa limeachwa nyuma. Pili hapo Lissu alipofanyia mkutano kama angeenda mjini basi angefunika mbaya.
Hizo propaganda za kipuuzi huu ni wakati wa sayansi na tekinolojia kila kitu kiko wazi, vedeo clip zinasambaa mtandaoni zikionyesha Lissu amefungiwa ndani huku mawe yakirushwa.

Kama angefanyia mjini angefunika Kama unavyosema nini kilimzuia hadi wakodi watu kutoka Katoro????
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Siyo Chatto tu ambako hawakmkubali, Magufuli hata kwenye familia hakubaliki. Yasemekana hata mama mzazi hamkubali ndiyo kisa kupata kiharusi. Maisha yake yote alikuwa anaishi na Binti yake aliyekufa mwishoni mwa 2018. Baada ya ule msiba mama akasema mbona umekufa wewe?? Si bora angekuwa nonino?? Sijui nitaishi wapi miye?? Mama kajisemeea kisha kupata kiharusi
 
Hizo propaganda za kipuuzi huu ni wakati wa sayansi na tekinolojia kila kitu kiko wazi, vedeo clip zinasambaa mtandaoni zikionyesha Lissu amefungiwa ndani huku mawe yakirushwa.

Kama angefanyia mjini angefunika Kama unavyosema nini kilimzuia hadi wakodi watu kutoka Katoro????
Wamekodi watu mwuulize mwinyi price ya kukodi leo hiii hko Zanzibar
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Du!!! Kwa hiyo Bro! Katika picha hiyo unaweza kueleza kuwa ilikua ni asubuhi, mchana au jioni kwa kigezo kipi ... je jua linaonekana hapo kwenye picha?

Kusema kwamba jua linaonekana la utosi basi ni mchana?

Lakini pia Je, unaweza kunitofautishia kati ya picha (mfano wa hiyo hapo juu) ikiwa imepigwa saa mbili asubuhi na ikiwa imepigwa sa kumi jioni?

Acha uzuzu kwa intelijensia hiyo ndio maana mlidanganywa MO katekwa mkaletewa picha ya gari mkaambiwa ndio lililo mteka mkaamini

Shuwaini kweli Mxiueszzz hovyooo !!!
 
Siyo Chatto tu ambako hawakmkubali, Magufuli hata kwenye familia hakubaliki. Yasemekana hata mama mzazi hamkubali ndiyo kisa kupata kiharusi. Maisha yake yote alikuwa anaishi na Binti yake aliyekufa mwishoni mwa 2018. Baada ya ule msiba mama akasema mbona umekufa wewe?? Si bora angekuwa nonino?? Sijui nitaishi wapi miye?? Mama kajisemeea kisha kupata kiharusi
Wewe Jamaa ni mpuuzi kweli rejea uchaguzi wa Mwaka 2015, mtu ambaye hakubariki kwao anaweza kupata zaidi ya 95% ya kura zilizopigwa.
Mtu ambaye hakubariki anaweza kupata madiwani wote kutoka kata 17 .

Yaani tarehe 28/10/2020 ndiyo muone nini kitatokea .
 
Taratibu watamuelewa kuwa dhamira yake si safi kwa nchi yetu! Kumbuka kila kitu kinachofanyika anakipinga na akiona amepwaya anaanzisha visa ili kuichokoza serikali. Mungu yupo tutavuka tu
Kweli bro huyu jamaa siyo kabisa halafu mijiti ya bavicha ilivyo mijinga eti inasambaza clip mtandaoni zikionyesha wote wanaolalamika kupopolewa na mawe wametoka Katoro, hivi mtu anatoka Katoro hadi CHATO kuleta vurugu halafu uachwe ujinga kabisa.
 
Nani amekataza wasimpigie kura? Hivi inafurahia anavyomtukana Rais? Kwani ni yeye mgombea pekee wa upinzani? Mbona wengine wana kampeni za kistaarabu! Alivyo mshari kwanini karudi kanda ya ziwa baadala ya kusonga mbele, huyo ni mchokozi ma anatafuta kura za huruma maana ile ya kupigwa risasi imebuma!
Tulia wewe mammalia ratiba inapagwa na tume mwaka huu lazima mzalishwe bila dawa ya uchungu pambaf
 
Jiwe limemeguka.
Ngoja nitafakari isije kuwa huyu Antipas anatumia kizizi!
IMG_20200323_200335.jpg
 
Acha ujinga wewe. Waliopopolewa mawe ni gari la muziki la Chadema wakati Lissu ameshaondoka kwenye mkutano. Walifanya ujanja kumtanguliza Lissu tena ni hao polisi ili wapige mawe hilo gari la matangazo ambalo lilibaki nyuma. Huo ni mkutano wa Chato ingawa pia walitokea wanaccm wachache wakaanza kuzomea wakati mkutano unaendelea ila wakapigwa wakakimbia na mkutano ukaendelea kama kawaida.

Ile video ni baada ya Lissu kupata habari kuwa gari yao ya vifaa vya muziki iliyobaki nyuma imeshambuliwa kwa mawe ndipo akasema kuwa haondoki hadi gari yao ifike ili waondoke pamoja. Lissu alifanya mkutano Chato na hiyo ni picha ya mkutano wake Chato.
Umetufafanulia vizuri dikteta wetu
 
Ndio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
Unatia huruma kiumbe wewe! Ndio nyie mnashangilia hata upumbavu unapofanyika.
Nenda kashangae flyover zenu huko! Na Mungu bwana, kapiga humohumo mnapo zungusha mauno kujisifia.
IMG_20201014_031206.jpg
IMG_20201014_031223.jpg
 
Chato na ukanda mzima unawaeleza waTanzania, kwamba hatuwezi kugawanywa kimakabila au kwa sifa nyingine yoyote.

Ngazi hiyo ya kugawanywa tulishaivuka miaka mingi, hatuwezi kurudi huko.

Mwalimu alifanya kazi akaimaliza, yeyote anayetafuta kuturudisha huko tutamkataa.
 
Acha ujinga wewe. Waliopopolewa mawe ni gari la muziki la Chadema wakati Lissu ameshaondoka kwenye mkutano. Walifanya ujanja kumtanguliza Lissu tena ni hao polisi ili wapige mawe hilo gari la matangazo ambalo lilibaki nyuma. Huo ni mkutano wa Chato ingawa pia walitokea wanaccm wachache wakaanza kuzomea wakati mkutano unaendelea ila wakapigwa wakakimbia na mkutano ukaendelea kama kawaida.

Ile video ni baada ya Lissu kupata habari kuwa gari yao ya vifaa vya muziki iliyobaki nyuma imeshambuliwa kwa mawe ndipo akasema kuwa haondoki hadi gari yao ifike ili waondoke pamoja. Lissu alifanya mkutano Chato na hiyo ni picha ya mkutano wake Chato.
Tuwekeeni video ya mkutano wa Chato. Siyo RUNZEWE na Bukombe
 
Back
Top Bottom