Uchaguzi 2020 Mapokezi makubwa aliyopewa Lissu na wakazi wa Chato yana ujumbe mkubwa uliokuwa umejificha mioyoni mwao

Uchaguzi 2020 Mapokezi makubwa aliyopewa Lissu na wakazi wa Chato yana ujumbe mkubwa uliokuwa umejificha mioyoni mwao

Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine

Chadema wameingiza online tv inaitwa LN live, hiyo ndo inayotengeneza picha za uongo na kuhamasisha uovu.
Kifupi tanzania hatuna kiwango hicho cha ujinga wakuletewa vurugu.
Wanapoteza mda
Wanapoteza pesa
Wanapoteza nguvu.
Jibu nikwamba ccm tunaipa ushindi wa 96% tarehe 28/10/2020
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Mbona hiyo picha Ni ya jion jion? Au macho yangu?
 
Masikini Magufuli..ndo basi tena drama zake zote za kishamba zinaishia October 28!
 
Kaka CHATO jana wameoga aibu kubwa sana na hawatarudia kufanya ujinga CHATO

-Kwanza wameogopa kufanyia mkutano wao CHATO makoa makuu ya Wilaya wamefanyia mganza
-Pili walijitahidi sana kusomba watu kutoka Katoro ili waonekane wanaungwa mkono lakini bado idadi wa wahudhuriaji ilikuwa ndogo, ushahilidi for a hili rejea vedeo zinazosambaa mtandaoni wote wanaolalamika kupopolewa na mawe wanasema wametoka Katoro
- Hivi idadi ya wati ingekuwa kubwa kiasi kile nani angeweza kupopowa msafara wa Lissu kwa mawe??
Wamepiga mawe gari la matangazo Lissu akiwa ameshatangulia mbele.

Acha uongo wako eti wamesombwa unafikiri FIESTA yenu ile
 
Kweli bro huyu jamaa siyo kabisa halafu mijiti ya bavicha ilivyo mijinga eti inasambaza clip mtandaoni zikionyesha wote wanaolalamika kupopolewa na mawe wametoka Katoro, hivi mtu anatoka Katoro hadi CHATO kuleta vurugu halafu uachwe ujinga kabisa.
Wakitoka Katoro nyie ccm inawahusu nini?

Leo Chadema imepata wapi pesa za kusafirisha watu wakati mnasema hawana kitu.
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Upinzani hamjifunzi tu, wingi wa watu si sawasawa na wingi wa kura! Uchaguzi uliopita tulideki hadi barabara
 
Nyie si mnafanya fiesta na kubeba watu lazima mchukie kwa gharama za kipuuzi
CDM wanauza sera sio sura pimbi maji ww
CDM hawana Sera zaidi ya hizi za CCM ila kinachoweza kuwapa stronghold ni upepo wa nyakati na zama.

Hata hivyo imekuwa ni hulka ya watanzania kuwa tayari kusikiliza kila mkutano, akija ACT utaona wamejaa pia. Good assessment ni kufanya utafiti mdogo kwenye makundi mbalimbali ya wananchi hapo utajua nani ana weight kubwa
 
Wananchi wamedhamiria kumuadhibu Jiwe kupitia sanduku la kura na Jiwe anajitahidi,"By All Means", Hilo lisitokee!
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
30/10 ndio nitaandika maoni Kwenye hii post.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] janja janja zote zitakuwa hakuna tena...
 
Hapana acha uongo hiyo picha siyo ya chato acha kupotosha Lissu aliingia chato jion sana na mda ulikuwa umeenda haikuwa mchana kama ilivyo kwenye picha hiyo kawadanganye wajinga wenzio huko na mambo yenu ya kutumia picha za sehemu zingine
Hata video pia hauikubali? Mwaka huu mnara wa Babeli unaporomoka humuwezi shindana na mipango ya Mungu✌✌
 
Ndio Kawaida yenu kuwa na Misemo yakujazano Upepo tu kwa Vibendera Wenzie
Lakini Ukweli utabakia pale pale Huyo Hata 20% hatapata na Urais Atausikia tu JF kwa Vibendera wenye ID kumi kumi
Good tumesikia mawazo yako
 
Acha ujinga wewe. Waliopopolewa mawe ni gari la muziki la Chadema wakati Lissu ameshaondoka kwenye mkutano. Walifanya ujanja kumtanguliza Lissu tena ni hao polisi ili wapige mawe hilo gari la matangazo ambalo lilibaki nyuma. Huo ni mkutano wa Chato ingawa pia walitokea wanaccm wachache wakaanza kuzomea wakati mkutano unaendelea ila wakapigwa wakakimbia na mkutano ukaendelea kama kawaida.

Ile video ni baada ya Lissu kupata habari kuwa gari yao ya vifaa vya muziki iliyobaki nyuma imeshambuliwa kwa mawe ndipo akasema kuwa haondoki hadi gari yao ifike ili waondoke pamoja. Lissu alifanya mkutano Chato na hiyo ni picha ya mkutano wake Chato.
Vipi mkuu walifanikiwa kuondoka wote?
 
30/10 ndio nitaandika maoni Kwenye hii post.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] janja janja zote zitakuwa hakuna tena...
Lakini kumbuka wakati huo kisingizio kitakuwa ni kuwa wameibiwa kura
 
Inawezekana wakazi wa Chato walikuwa wanaogopa kuwaeleza Watanzania kuwa ‘na sisi ni binadamu wenzenu tunaumia’, lkn kwa kujitokeza kwa wingi kiasi kile pengine zaidi ya walivyompokea Magufuli, ni dalili kuwa hata wao wamechoshwa na vile mtoto wao jirani yao Rais Magufuli alivyokuwa akiwatendea.

Tukiondoa vitendo vichache vya hapa na pale vya kupangwa alivyofanyiwa Lissu Chato, kitendo wachoonyesha ni sawa na kupeleka ujumbe kuwa tumepata sehemu angalau ya kupumulia, kutolea hisia zetu kwa vitendo.

Na mara nyingi mtoto akiwa na shida huogopa kumwambia baba yake lkn akija mjomba hujieleza bila hofu, wakazi wa Chato wamejieleza wazi.

Wenye akili tu wataelewa.

View attachment 1599379
Watanzania tuwasikilize wana Chato .............!!
 
Back
Top Bottom