M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Wazee kama Wasira hawastahili kubebeshwa majukumu ya kudumu. Watumike kutoa ushauri wa hapa na pale tu!Mara ni kitivo cha uongozi. Tunawakaribisha viongozi wetu hapa airport Musoma tarehe 30/03/2025. Saa 5 asubuhi
Kwa nini mapokezi ya Wassira yasifanyikie Kigoma?
Mzee wetu kipenzi belongs there!
Unajua tafauti ya Wasira na Trump ni mwaka mmoja tu.Wazee kama Wasira hawastahili kubebeshwa majukumu ya kudumu. Watumike kutoa ushauri wa hapa na pale tu!
Bedford vs Fortunner new model
Watapanda ndegge moja au mnawakodia kila mtu yake1. Mara ni kitivo cha uongozi. Mwl Nyerere, Jaji Warioba, Jenerali Msuguri ndio waliopotokea.
2. Tunawakaribisha viongozi wetu hapa airport Musoma tarehe 30/03/2025. Saa 5 asubuhi
Au mimi ndo nimekuelewa peke yangu πKwa nini mapokezi ya Wassira yasifanyikie Kigoma?
Mzee wetu kipenzi belongs there!
Heche simba wa Afirka , lissu simba wa Dunia , ccm wako ICUKwa nini mapokezi ya Wassira yasifanyikie Kigoma?
Mzee wetu kipenzi belongs there!
Mkuu Kwamba kwasababu ya hiyo hifadhi hapo au?Kwa nini mapokezi ya Wassira yasifanyikie Kigoma?
Mzee wetu kipenzi belongs there!
Mukama katibu mkuu mstaafu CCM,1. Mara ni kitivo cha uongozi. Mwl Nyerere, Jaji Warioba, Jenerali Msuguri ndio waliopotokea.
πππ Wasira atoe ushauri gani? Kama wanaitaji ushauri yupo jaji warioba na butiku wawafuate haoWazee kama Wasira hawastahili kubebeshwa majukumu ya kudumu. Watumike kutoa ushauri wa hapa na pale tu!
Yuko hapa mbona ni kijana kabisa,wa kupewa uongozi!CCM siku zote hawako makini, kwa Wasira ndio wamevuruga zaidi
Mara zote mtu ukizeeka, ni mara chache kujitambua kuwa umezeeka mpaka uone shikamooo nyingi, uitwe babu n.k na au uambiwe
CCM imezeeka, tuwaambie ukweli, wanafanya mambo yao kihovyo hovyo sana
Wasira hapo alipo ni wa kupewa uongozi?
Bora Wangelimpa mwashambwa! π€£π€£