Chifu mkuu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2025
- 422
- 489
Angekuwa hana akili asingefanya kazi na Mzee Nyerere na Mzee Mwinyi.umekubaliana NAMI akili Hana
Huyo ni jembe la nguvu ndio maana kila rais anayeingia ikulu anamteua Wasira kwa kazi mbalimbali.
Haiwezekani Marais watano wote wamteue mtu ambaye hana akili.